Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Habarini,
Nimeona avatar ya mdau mmoja anaitwa Avoyne, nimeshindwa kipaste hapa. Anayeweza kuipaste anisaidie.
Kweli inanikwaza sana, kama nilivyosema dini ndio suluhisho la mwisho la binadamu. Unapoona mtu anaitania/mock bila sababu ya msingi inasikitisha. Kila nikiiona its like you are punching my face, please can you change that avatar for those who praise that name dearly?
Nimeweka hapa ili na wengine wa-comment if am being paranoid. Nothing personal to you.
Nimeona avatar ya mdau mmoja anaitwa Avoyne, nimeshindwa kipaste hapa. Anayeweza kuipaste anisaidie.
Kweli inanikwaza sana, kama nilivyosema dini ndio suluhisho la mwisho la binadamu. Unapoona mtu anaitania/mock bila sababu ya msingi inasikitisha. Kila nikiiona its like you are punching my face, please can you change that avatar for those who praise that name dearly?
Nimeweka hapa ili na wengine wa-comment if am being paranoid. Nothing personal to you.