tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Anaenda mazikoni Adiss Ababa
Mazishi yatafanyika tarehe 2/9/2012 na leo ni tarehe 26/8/2012 kama ni kweli basi atakuwa amewahi sana; au labda yuko kwenye kamati ya mazishi.
Anaenda mazikoni Adiss Ababa
Umenipita speed kali mida hii ukieleka uwanja wa ndege ukiwa na msafara wa magari mengi. Roho imeniuma sana kwa jinsi unavyo teketeza kodi zetu sisi walala hoi.
Safari zako siziunga mkono labda kama unaenda malawi kutatua mzozo wa mpaka.
Lakini sina budi kukubaliana na wewe kwa kua ndio uliyetangazwa na tume ya uchaguzi. Na watanzania walio kuchagua wameshafuzu mafunzo kwa vitendo, naamin safari inayokuja watakua makini.
Mungu akujalie uende na kurudi salama. mia
Umenipita speed kali mida hii ukieleka uwanja wa ndege ukiwa na msafara wa magari mengi. Roho imeniuma sana kwa jinsi unavyo teketeza kodi zetu sisi walala hoi.
Safari zako siziunga mkono labda kama unaenda malawi kutatua mzozo wa mpaka.
Lakini sina budi kukubaliana na wewe kwa kua ndio uliyetangazwa na tume ya uchaguzi. Na watanzania walio kuchagua wameshafuzu mafunzo kwa vitendo, naamin safari inayokuja watakua makini.
Mungu akujalie uende na kurudi salama. mia
Mbona ajali ya ndege kwa Tanzania ni chache?
Jioni hii Jk yupo Malawi. nimeambiwa sasa hivi na jamaa aliyeko Ikulu-Malawi.
are u ramadhan ighondu wa MAKOLE???????DODOMA
Nadhani Watanzania tunakila sababu ya kutorudia makaosa ya kuwachagua Urais kwa aliyepita Uwaziri wa mambo ya nje ,kwani hawa jamaa inaonekana wamekuwa wameisha nogewa .Hebu linganisha enzi za wale wazee wetu wawili amabao walikuwa Waalimu wawo ilikuwa vijiji nawao wao navijiji sasa hebu linganisha hizi njemba zilizofuatia ,niwao na majuu majuu nawao .KAZI KWELI KWELI:flypig:
Mbona ajali ya ndege kwa Tanzania ni chache?
Naomba kazi ya urubani kwenyepipa lake au lazima niwe mjeda
Umenipita speed kali mida hii ukieleka uwanja wa ndege ukiwa na msafara wa magari mengi. Roho imeniuma sana kwa jinsi unavyo teketeza kodi zetu sisi walala hoi.
Safari zako siziunga mkono labda kama unaenda malawi kutatua mzozo wa mpaka.
Lakini sina budi kukubaliana na wewe kwa kua ndio uliyetangazwa na tume ya uchaguzi. Na watanzania walio kuchagua wameshafuzu mafunzo kwa vitendo, naamin safari inayokuja watakua makini.
Mungu akujalie uende na kurudi salama. mia
Mbona ajali ya ndege kwa Tanzania ni chache?
Anaenda wapi mkuu?
Anaenda wapi mkuu?