NAKUTAFUTA WEWE DADA YANGU

stanley moses

New Member
Jul 24, 2009
3
0
MIMI STANLEY MOSES
NAKUTAFUTA WEWE DADA YANGU
CHERU MKOMBO
POPOTE ULIPO TANZANIA
TULIACHANA NA WEWE ULIPOMALIZA KIDATO CHA NNE
TABORA GIRLS 2004
HADI LEO NAKUTAFUTA UKO WAPI?
JAMANI YEYOTE ANAYE MFAHAMU DADA HUYU
ANIJULISHE KWA ANWANI ZIFUATAZO
1, stanleymoses67@yahoo.com
2, 0713163155
3, 0765487827
tafadharini jamani
 
MIMI STANLEY MOSES
NAKUTAFUTA WEWE DADA YANGU
CHERU MKOMBO
POPOTE ULIPO TANZANIA
TULIACHANA NA WEWE ULIPOMALIZA KIDATO CHA NNE
TABORA GIRLS 2004
HADI LEO NAKUTAFUTA UKO WAPI?
JAMANI YEYOTE ANAYE MFAHAMU DADA HUYU
ANIJULISHE KWA ANWANI ZIFUATAZO
1, stanleymoses67@yahoo.com
2, 0713163155
3, 0765487827
tafadharini jamani
Stanley Moses na Tabora Girls wapi na wapi?
 
Mkuu samahani kwa kwenda off post, edit sema unamuulizia rafiki yako unavyosema dada ni umri mkubwa au ni tumbo 1? lakini kutokana na maelezo huyo sio tumbo 1. Kuwa mkweli tukusaidie nitatangaza kwenye kipindi changu leo jioni na kesho asubuhi mara 3
 
Mkuu samahani kwa kwenda off post, edit sema unamuulizia rafiki yako unavyosema dada ni umri mkubwa au ni tumbo 1? lakini kutokana na maelezo huyo sio tumbo 1. Kuwa mkweli tukusaidie nitatangaza kwenye kipindi changu leo jioni na kesho asubuhi mara 3

offer ya krismass hiyo!!! no air time will be charged!!!
 
Yeye alikuwa tabora boys, if yu no wora am seying! si unajua pale ni pua na mdomo, hata maji wanateka kisima kimoja yakhe!

Ninapata mashaka kwamba wewe ni mwenyeji sana mitaa ya Ng'ambu na Sikonge Rd. Vipi, ulipitia mitaa Warsaw?;)
 
Yeye alikuwa tabora boys, if yu no wora am seying! si unajua pale ni pua na mdomo, hata maji wanateka kisima kimoja yakhe!

na disco la wecome form 1 au 5 wao ni partners
 
Mkuu samahani kwa kwenda off post, edit sema unamuulizia rafiki yako unavyosema dada ni umri mkubwa au ni tumbo 1? lakini kutokana na maelezo huyo sio tumbo 1. Kuwa mkweli tukusaidie nitatangaza kwenye kipindi changu leo jioni na kesho asubuhi mara 3

Mkuu angalia usije ukavunja uchumba/ndoa ya huyo dada Cheru. Tangu 2004 mpaka leo anaweza kuwa alishajimuvuzisha kwa kijana (ndoa/uchumba). Sasa kijana akisikia dada anatafutwa na Bwana Stanley Mosses kesi yake ni kubwa ... wasije wakawa ni binam nyama ya hamu.
 
MIMI STANLEY MOSES
NAKUTAFUTA WEWE DADA YANGU
CHERU MKOMBO
POPOTE ULIPO TANZANIA
TULIACHANA NA WEWE ULIPOMALIZA KIDATO CHA NNE
TABORA GIRLS 2004
HADI LEO NAKUTAFUTA UKO WAPI?
JAMANI YEYOTE ANAYE MFAHAMU DADA HUYU
ANIJULISHE KWA ANWANI ZIFUATAZO
1, stanleymoses67@yahoo.com
2, 0713163155
3, 0765487827
tafadharini jamani

HINT: Huyo dada ni mwenyeji wa Wilaya ya Sikonge, wasiliana na member wa JF anaitwa Sikonge na mwingine anaitwa Elnino, wanaweza kukuelekeza namna ya kumpata.

Kama ulikuwa hujui huyo dada anatokea eneo gani, ninakupa info zaidi kwamba anatokea sehemu moja inaitwa IPOLE.

ONYO: Nenda taratibu usije ukavunja ndoa/uchumba, maana tangazo lako halisemi kama wewe una undugu nae na kama una undugu nae basi ungejua yuko wapi. Yaonekana mlikutana mlipokuwa mnachota maji zama za Warsaw na Berlin. Haya ndo mambo ya Nganza na Bwiru Boys.
 
Nimemtafuta kwenye Google wala hayupo! Jiandae kwa surprises unaweza kuta ameolewa na maisha yake, ama ameishatangulia kwenye hukumu ya mwisho...ukakumbushia nduguze machungu!
 
Nimemtafuta kwenye Google wala hayupo! Jiandae kwa surprises unaweza kuta ameolewa na maisha yake, ama ameishatangulia kwenye hukumu ya mwisho...ukakumbushia nduguze machungu!

Hili nalo nia ANGALIZO MUHIMU sana.
 
mimi stanley moses
nakutafuta wewe dada yangu
cheru mkombo
popote ulipo tanzania
tuliachana na wewe ulipomaliza kidato cha nne
tabora girls 2004
hadi leo nakutafuta uko wapi?
jamani yeyote anaye mfahamu dada huyu
anijulishe kwa anwani zifuatazo
1, stanleymoses67@yahoo.com
2, 0713163155
3, 0765487827
tafadharini jamani

kijana naomba utoe maelezo ya dhati kwnn unamtafuta mke wangu mtarajiwa???....naona wewe ndio kati ya wale wale msiopenda kuona wenzenu wanafurahia maisha yao na wachumba zao...

Umesikia next year namtia ndoani sasa unakuja na vijisababu vyako vya kitoto uonekane kuwa unataka kuwasiliana naye...kwa ufupi hii imekula kwako na ndio namtia ndoani na utaishia kumsikia tuuu hapa jf...ukisha jua nipo naye then unataka kufanya nn???...

Kwann hupendi kukubali ukweli hata kama unauma???....haya basi nitamweleza kuwa ki-x-boyfriend chako cha sekondari kinakutafuta....then utaongea naye kwa simu yangu..weekend ijayo jmosi saa tano asubuhi...maongezi yatarekodiwa..na mind you utasikika na umati woote utakaokuwapo kusikia unamwambia nn cha ajabu
 
Ninapata mashaka kwamba wewe ni mwenyeji sana mitaa ya Ng'ambu na Sikonge Rd. Vipi, ulipitia mitaa Warsaw?;)

Jamani msinikumbushe huko....Nilikuwa pale kwenye Shule ya Wanaume (sio ya wavulana).....if you know what I am saying!
 
kijana naomba utoe maelezo ya dhati kwnn unamtafuta mke wangu mtarajiwa???....naona wewe ndio kati ya wale wale msiopenda kuona wenzenu wanafurahia maisha yao na wachumba zao...

Umesikia next year namtia ndoani sasa unakuja na vijisababu vyako vya kitoto uonekane kuwa unataka kuwasiliana naye...kwa ufupi hii imekula kwako na ndio namtia ndoani na utaishia kumsikia tuuu hapa jf...ukisha jua nipo naye then unataka kufanya nn???...

Kwann hupendi kukubali ukweli hata kama unauma???....haya basi nitamweleza kuwa ki-x-boyfriend chako cha sekondari kinakutafuta....then utaongea naye kwa simu yangu..weekend ijayo jmosi saa tano asubuhi...maongezi yatarekodiwa..na mind you utasikika na umati woote utakaokuwapo kusikia unamwambia nn cha ajabu

Nilihisi kabisa balaa kama hili litatokea hapa!
 
Yeye alikuwa tabora boys, if yu no wora am seying! si unajua pale ni pua na mdomo, hata maji wanateka kisima kimoja yakhe!


Samahani sijui ni typing error au ulikusudia lakini sijaelewa maana ya hilo neno lenye red mark
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom