Nakusudia kuwafikisha Mahakamani Lowasa, Membe na Sitta

There are currently 35 users browsing this thread. (9 members and 26 guests)
Bobsambeke III,
Yericko Nyerere,
Ze Heby,
ESCO,
WOWOWO,
Mtumishi Wetu,
King Kong III,
Kicheruka,
Iselamagazi

Hoya nyie guests log in mchangie,anataka apelekwe mahakamni huyo mtu

Waje kumuokoa mutu wao wanguvu EL
 
Tumekusoma mkuu,ngoja tulete data!

PhD yuko wapi atupatie data. Huyu jamaa mara nyingi amekuwa akiahidi kuleta data za nyuzi mbalimbali japo ahadi zake sijapata kumuona akizitimiza.

PhD tusaidie ndg zako ktk hili kama taarifa hz unazo
 
Mkuu mbona unajichanganya?.Iweje ukusudie kumpeleka mtu mahakamani halafu ndiyo uombe data! Au wewe ni mzee wa Antilog?
 
Mkuu mbona unajichanganya?.Iweje ukusudie kumpeleka mtu mahakamani halafu ndiyo uombe data! Au wewe ni mzee wa Antilog?

Unajua maana ya kukusudia?

Ndio nakusanya ushahidi na kama wewe unao ushahidi unaoweza kusaidia kumtia hatiani zaidi ya ule wa Tume ya Mwakyembe ulete hapa ili nitekeleze kusudio langu!
 
Tz kila mwananchi ana hold bachelor ya siasa. Ok all the best.

Hivi wanasiasa ndio wanaoshughulika na mambo ya kesi mahakamani?

Lete ushahidi ndugu ili nitimize kusudio langu na kuweka uwanja safi wa siasa 2015
 
Wadau wa JF,

Kama kichwa cha uzi huu nilivyokieleza, hiyo ndiyo dhamira yangu ya dhati.

Nikiwa muhafidhina wa siasa za kisasa na zenye ukwasi wa muono wa juu, nimekuwa muhanga wa kusikia na pengine kuona kwa vitendo harakati zinavyopamba moto ndani ya chama mufilisi cha ccm za kuwania kupeperusha bendera ya kijani na njano kwenye uchaguzi wa 2015.

Wanaotajwa au kujionyesha wazi kwa mienendo yao kuutaka uraisi ni wengi lakini kinara wao ni Waziri Mkuu aliyejiuzuru kwa aibu ya karne baada ya kuthibitika na tume huru iliyoundwa na Bunge la Tz kuwa alihusika kuliingiza Taifa katika hasara kubwa ya mabilioni kwa kuipa kampuni ya mfukoni na isiyonasifa ya Richmond tenda ya uzalishaji wa umeme.

Lakini wanaoitwa waangalizi wa siasa na sheria za nchi hii walisema kuwa ushahidi wa tume hii hauna nguvu ya kumtia mtu hatiani mpaka wenye mamlaka ya dola wajiridhishe.

Baada ya kuwekwa kando kimamlaka, Bwana Lowasa alianza kujiumba kwa simenti ya iron still ndani ya chama na sasa anajongea mbele ya siasa za kitaifa tena akibeba kundi la wapumbavu na werevu wanaosumbuliwa na njaa za msimu!

Yeye kama Lowasa hajatangaza mahali popote iwe ndani ya chama au nje kuwa atagombe urais 2015 lakini mtazamo wangu wa siasa za kiafrika unaniambia kwa mwenendo wa Lowasa kwa sasa ni kuwa anaitaka dola kwa gharama yoyote ile na hata kwa damu!

Hilo tu linanipa nguvu ya kumwangalia Lowasa kama mwanasiasa aliyefutika katika siasa kwa uozo wake na sasa anaefufuka kwanjia KHARAMU.

Watanzania wenzangu tukubali tukatae, ukweli ni kuwa kuelekea uchaguzi mkuu 2015 taifa linahitaji mtu makini na msafi wa nje na ndani kisiasa.

Japo kuwa ndani ccm hakuna aliyemsafi hata chembe, lakini vivyo hivyo wanatofautiana kwa uchafu.

Sasa naomba mtu yeyote mwenye ushahidi wa wazi zaidi ya ule wa Mwakyembe juu ya ufisadi au uhujumu uchumi wa Lowasa,Membe,Sita,na wengine wanaotajwa kuwania urais ndani ya ccm aushushe hapa,

Ushahidi huo uwe unajitosheleza kumfikisha mahakamani muhusika, na kwakuepuka matumizi ya rushwa, atapelekwa katika mahakama ya kimataifa, iwe Afrika au nje ya Afrika!

Kama hana hatia basi na asafishwe ili ifikapo 2015 awe mweupe kama nyota chini ya bendera ya ccm!

Tunataka ifikapo 2015 taifa liwe na wagombea wa vyama vya siasa walio wasafi na wasio na doa kisia kama ilivyo kwa chama cha ukombozi wa pili dhidi ya mkoloni mweusi ccm, na si kingine ni Chadema chini ya Daktari na gwiji wa siasa za kisayansi W.P.Slaa!

Uwanja wa siasa utakuwa mzuri ikiwa wagombea wote wa vyama vya siasa watakuwa wasafi kama Dr Sla,Mbowe,na wengine wengi ndani ya Chadema!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ilaani CCM ife kamili kabla ya 2015.

pumbaaaafffffffffffff ww unasema ndani y ccm hakuna msafi ww unawajua ccm wote?unaweza ukawa unamtukana bb yko,mama yko,then unasema km mbowe slaa ni wasafi,sallllaaaala au humaanishi mbowe huyu aliye chukua pesa za walalahoi na kwenda kutumbua na hawara yake dubai?na hchi kikongwe ndio ndio kichafu kabisa mpk leo hakijaoa kazi kuzini na wake wake za watu ,lol kajipange tena
 
pumbaaaafffffffffffff ww unasema ndani y ccm hakuna msafi ww unawajua ccm wote?unaweza ukawa unamtukana bb yko,mama yko,then unasema km mbowe slaa ni wasafi,sallllaaaala au humaanishi mbowe huyu aliye chukua pesa za walalahoi na kwenda kutumbua na hawara yake dubai?na hchi kikongwe ndio ndio kichafu kabisa mpk leo hakijaoa kazi kuzini na wake wake za watu ,lol kajipange tena

Lete ushahidi wa hayo ndugu,
 
ninachokiona ni kuwa unaonekana kuwa na chuki zaid kuliko kuendeshwa na facts,hiv ulishawah kufuatilia ile ripot ya mwakyembe juu ya kinachoitwa ufisad wa lowasa?uliwah kufuatilia vikao vya kamati kuu ya ccm wakat lowasa alipouliza kwanin anaitwa fisad?unajua kilichotokea?unaelekea kuwa na mawazo mazur kwa maana unapenda tuwe na viongoz wasio na kashfa lakin approach unayoitumia inaweza kukuweka pabaya kisheria coz unafanya direct attacking kwa watu kwa vitu ambavyo hunaushahid navyo mana hata ile riport ya mwakyembe ilikuwa ver subjective other than objective hivyo haikuwa na uhalali hata wa kumfanya lowasa ajiuzulu bali lowasa aliamua kutumia busara binafs na kuonyesha uwajibikaji kisiasa lakin kwa watu wenye chuk watafikir kama unavyofikir
 
Wadau wa JF,

Kama kichwa cha uzi huu nilivyokieleza, hiyo ndiyo dhamira yangu ya dhati.

Nikiwa muhafidhina wa siasa za kisasa na zenye ukwasi wa muono wa juu, nimekuwa muhanga wa kusikia na pengine kuona kwa vitendo harakati zinavyopamba moto ndani ya chama mufilisi cha ccm za kuwania kupeperusha bendera ya kijani na njano kwenye uchaguzi wa 2015.

Wanaotajwa au kujionyesha wazi kwa mienendo yao kuutaka uraisi ni wengi lakini kinara wao ni Waziri Mkuu aliyejiuzuru kwa aibu ya karne baada ya kuthibitika na tume huru iliyoundwa na Bunge la Tz kuwa alihusika kuliingiza Taifa katika hasara kubwa ya mabilioni kwa kuipa kampuni ya mfukoni na isiyonasifa ya Richmond tenda ya uzalishaji wa umeme.

Lakini wanaoitwa waangalizi wa siasa na sheria za nchi hii walisema kuwa ushahidi wa tume hii hauna nguvu ya kumtia mtu hatiani mpaka wenye mamlaka ya dola wajiridhishe.

Baada ya kuwekwa kando kimamlaka, Bwana Lowasa alianza kujiumba kwa simenti ya iron still ndani ya chama na sasa anajongea mbele ya siasa za kitaifa tena akibeba kundi la wapumbavu na werevu wanaosumbuliwa na njaa za msimu!

Yeye kama Lowasa hajatangaza mahali popote iwe ndani ya chama au nje kuwa atagombe urais 2015 lakini mtazamo wangu wa siasa za kiafrika unaniambia kwa mwenendo wa Lowasa kwa sasa ni kuwa anaitaka dola kwa gharama yoyote ile na hata kwa damu!

Hilo tu linanipa nguvu ya kumwangalia Lowasa kama mwanasiasa aliyefutika katika siasa kwa uozo wake na sasa anaefufuka kwanjia KHARAMU.

Watanzania wenzangu tukubali tukatae, ukweli ni kuwa kuelekea uchaguzi mkuu 2015 taifa linahitaji mtu makini na msafi wa nje na ndani kisiasa.

Japo kuwa ndani ccm hakuna aliyemsafi hata chembe, lakini vivyo hivyo wanatofautiana kwa uchafu.

Sasa naomba mtu yeyote mwenye ushahidi wa wazi zaidi ya ule wa Mwakyembe juu ya ufisadi au uhujumu uchumi wa Lowasa,Membe,Sita,na wengine wanaotajwa kuwania urais ndani ya ccm aushushe hapa,

Ushahidi huo uwe unajitosheleza kumfikisha mahakamani muhusika, na kwakuepuka matumizi ya rushwa, atapelekwa katika mahakama ya kimataifa, iwe Afrika au nje ya Afrika!

Kama hana hatia basi na asafishwe ili ifikapo 2015 awe mweupe kama nyota chini ya bendera ya ccm!

Tunataka ifikapo 2015 taifa liwe na wagombea wa vyama vya siasa walio wasafi na wasio na doa kisia kama ilivyo kwa chama cha ukombozi wa pili dhidi ya mkoloni mweusi ccm, na si kingine ni Chadema chini ya Daktari na gwiji wa siasa za kisayansi W.P.Slaa!

Uwanja wa siasa utakuwa mzuri ikiwa wagombea wote wa vyama vya siasa watakuwa wasafi kama Dr Sla,Mbowe,na wengine wengi ndani ya Chadema!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ilaani CCM ife kamili kabla ya 2015.

Hapa ni wakati CHADEMA kikijitambulisha kama chama cha kizalendo. Lakini kwa hali ilivyo sasa, hatujapata chama mbadala wa CCM zaidi ya vikundi vya waganga njaa tu. Mungu nakuomba iepushe Tanzania na wahuni wa kisiasa wanatumia nguvu ya ushawishi wa kinafiki kujaribu kuliangamiza taifa. Kwa heri CHADEMA, kwa heri upinzani.
 
Wadau wa JF,

Watanzania wenzangu tukubali tukatae, ukweli ni kuwa kuelekea uchaguzi mkuu 2015 taifa linahitaji mtu makini na msafi wa nje na ndani kisiasa.

Japo kuwa ndani ccm hakuna aliyemsafi hata chembe, lakini vivyo hivyo wanatofautiana kwa uchafu.

Sasa naomba mtu yeyote mwenye ushahidi wa wazi zaidi ya ule wa Mwakyembe juu ya ufisadi au uhujumu uchumi wa Lowasa,Membe,Sita,na wengine wanaotajwa kuwania urais ndani ya ccm aushushe hapa,

Ushahidi huo uwe unajitosheleza kumfikisha mahakamani muhusika, na kwakuepuka matumizi ya rushwa, atapelekwa katika mahakama ya kimataifa, iwe Afrika au nje ya Afrika!

Kama hana hatia basi na asafishwe ili ifikapo 2015 awe mweupe kama nyota chini ya bendera ya ccm!



Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ilaani CCM ife kamili kabla ya 2015.

@Yericko Nyerere namna ya Kumsafisha Mhe.Lowassa. Kuelekea OCt.2015 hii hapa chini

CDM na Mhe.Lowassa watangaze rasmi kupitia kwa Taarifa ya Maandishi ya Mawakili kuwa yeyote anayempakazia au kuendelea kumpakazia kuhusiana na Rushwa ndani ya Zoezi la Richmond atafungulia Kesi ya Madai ya kumchafua jina.
 
Back
Top Bottom