sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
teh teh teh...namlinda...ntakulinda tu maana am incomplete without you guys....au nimeshau hilo tangazo ni la nini tena
Hahahahaha !......we nilinde tu tangazo achana nalo!
teh teh teh...namlinda...ntakulinda tu maana am incomplete without you guys....au nimeshau hilo tangazo ni la nini tena
Hahahahaha !......we nilinde tu tangazo achana nalo!
Nimeshakupa ulinzi kwa asilimia mia moja...what else?
Ruhazwe JR anatafuta mchumba .....vipi wewe ushapata mchumba?
Muoe Yummy .....ukishindwa BADILI TABIA atakufaa.......ukitaka wa ukweli zaidi mchukue cacico .....nimekutajia hao manake ndio wako single kwa sasa baada ya babu Asprin kuwabwaga kwa kishindo!
Hahahahaha lol.....mke mwenza una mambo weye khaaa!
Me :A S-heart-2: You !
Nothing else !
Mamako akuchagulie mke?? We mwana wewe!
Lol! Come baby! Sijaambiwa hivyo mwaka wa tano sasa, leo nimeondoa gundu....halafu nimetafuta wamasai wanisaidie kukupa ulinzi.Lazima umlinde umpendaye, teh teh teh....masai nawaaminia...
Hahahahaha lol.......nimecheka kidogo nipaliwe khaaa!
Ulinzi unaanza lini sasa?
Leo jioni...nimewapanga wakapangika. tayari kumlinda sweetlady dhidi ya hatari zote zitokanazo na wabaaishaji wa mji huu.
Are fine though?
Thanks lol
Acha nianze kujidai mie!
Tembea ukiringa mwanakwetu...ulinzi wa wamasai sio mchezo...nimewaruhusu mpaka wakusuke rasta(Ila ntahakikisha wamevaa kufuri). Upendeze ukiwa unatembea unaringa