Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
Hadi nitakapo soma response toka upande wa pili. Hata hivyo, mapenzi ya kutishiana na kuleta habari za yaliyopita si mapenzi.
Maji ukiyavulia nguo yaoge, sio ooh nili...uli..uki...nita..., unafukunyua ya nyuma ambayo ulisamehe na hukulazimishwa kumvulia nguo huyo unayemuita bitch, sitaki nataka hizo ndugu yangu mtoa mada.
Maji ukiyavulia nguo yaoge, sio ooh nili...uli..uki...nita..., unafukunyua ya nyuma ambayo ulisamehe na hukulazimishwa kumvulia nguo huyo unayemuita bitch, sitaki nataka hizo ndugu yangu mtoa mada.