Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
ukipata pesa yako kwa machungu huwezi kuwa timamu wa kulipa ili jina lako litajwe, hizo pesa za wizi na ufisadi haziwaumi ndio maana wanatapanya.They pay kuimbwa so it comes as no surprise. Hata Dotnata alitoa hela kuimbwa na FM Academia na aka shitiki kwenye video ya mwimbo.
hata drc hao wanaotajwa wanafanya biashara haramu za vito na ufisadi mwingine ndio maana serikali ya drc imepiga marufuku viongozi wake kutajwa na mabendi