Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
6. Med MpakanjiaHebu tuone/tuwaorodheshe wale wote wanaoimbwa tuangalia wamefanya nini cha mno kwenye jamii na kama kuimbwa kwao na kutukuzwa kunastahili:
1.Jack Pemba
2. Ndama Mtoto wa Ng'ombe
3. Papaa Msofe
4.Chief Kiumbe
5......
WoS, my darling umemsahau no. 6 Med Mpakanjia!!! Hivi hasikiki kuna nini jamani!!!??? lol!