WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Najua mtakapoona kichwa cha thread mtashangaa kulikoni tena WoS!
Ndio hivyo tena. Wikiendi ndo inanukianukia.. Hebu nianze kuangalia viwanja gani vinafaa kwenda kutembelea ili kupunguza msongo na kujipa burudani baada ya kazi ngumu ya wiki nzima.
Njia moja wapo ya kurelax ni muziki.. tena muziki wa nyumbani.. Kuna akina Akudo Impact wazee wa masauti, kuna FM Academia wazee wa Pamba Bling bling... Kuna Vibration sounds.....HAAA!
Lakini mbona kuna kitu kinanikuna kuhusu hizi bendi --- athira ya DRC! Haijalishi lakini maana ninachotaka ni burudani.. Sauti nzuri, upigaji mzuri, wanamuziki watanashati, stage performance nzuri ......MHHHH....
Nyimbo nzuri??? Sina uhakika kwa hilo maana maneno mengine humo ndani.. Sijui kama patna wangu wa muziki anajisikiaje yanapoimbwa na mimi kushabikia... JACK PEEEMBA.. MUME WANGU.... NAKUPENDA SANA EHHHHH JACK PEMBA!!!
Wakaka hebu tuambieni.. Mnajisikiaje kwenye hili?
HAYA tuache hayo ya Kumpenda Mume wa wenyewe Jack Pemba,
Kuna ma PDG huimbwa mwanzo hadi mwisho... Tena wenye wasifu wa kutiliwa mashaka! Kina Papa Msofe, Ndama Mtoto wa Ng'ombe, n.k.
Hivi wanaimbwa ili iweje? Kuwapa umaarufu kwa jipi jema wanalofanyia jamii ya watanzania?
MAKUBWA HAYA!
Ndio hivyo tena. Wikiendi ndo inanukianukia.. Hebu nianze kuangalia viwanja gani vinafaa kwenda kutembelea ili kupunguza msongo na kujipa burudani baada ya kazi ngumu ya wiki nzima.
Njia moja wapo ya kurelax ni muziki.. tena muziki wa nyumbani.. Kuna akina Akudo Impact wazee wa masauti, kuna FM Academia wazee wa Pamba Bling bling... Kuna Vibration sounds.....HAAA!
Lakini mbona kuna kitu kinanikuna kuhusu hizi bendi --- athira ya DRC! Haijalishi lakini maana ninachotaka ni burudani.. Sauti nzuri, upigaji mzuri, wanamuziki watanashati, stage performance nzuri ......MHHHH....
Nyimbo nzuri??? Sina uhakika kwa hilo maana maneno mengine humo ndani.. Sijui kama patna wangu wa muziki anajisikiaje yanapoimbwa na mimi kushabikia... JACK PEEEMBA.. MUME WANGU.... NAKUPENDA SANA EHHHHH JACK PEMBA!!!
Wakaka hebu tuambieni.. Mnajisikiaje kwenye hili?
HAYA tuache hayo ya Kumpenda Mume wa wenyewe Jack Pemba,
Kuna ma PDG huimbwa mwanzo hadi mwisho... Tena wenye wasifu wa kutiliwa mashaka! Kina Papa Msofe, Ndama Mtoto wa Ng'ombe, n.k.
Hivi wanaimbwa ili iweje? Kuwapa umaarufu kwa jipi jema wanalofanyia jamii ya watanzania?
MAKUBWA HAYA!