Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,842
Sasa mbona rate ya ndoa zinazovunjika au zisizo na amani ni kubwa kuliko zamani ambapo walikuwa hawatest?
Ni basi tu kufuata kasumba...Mkipendana kweli kila kitu huwa kinajipa.
Wewe umeolewa unakuta dushelele kama kichwa cha mtoto mchanga, hiyo ndoa utaiweza?? Au ukute jamaa jogoo hawiki utakaa kwenye hiyo ndoa?? Kinachofanya ndoa zivunjike ni mambo mengi ndugu yangu si kwamba eti zinavunjika kwa sababu walionjana kabla..