tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Mara nyingi wanaojiita wapendanao, waachanapo hutokea kauli kama, nakutakia maisha mema, Mungu akujalie huko uendako na kauli nyingine zinazofanana na hizo. Mara hizi kauli humtoka muachwa. Swali: hizi kauli huwa zinatoka moyon? Au ni kinyume chake? Nawasilisha