snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,700
- 23,618
hayo ya Mentor tuweke pembeni!Mentor nitajitahidi kuja kesho kuchangia hii maana inanigusa maana nalea vijana ambao wamechipukia na namshukuru Mungu pamoja na kuwa mama yao mdogo wanakuja kunieleza juu ya mahusiano yao. Kifupi ni kwamba hakuna jibu la moja kwa moja au jibu sahihi. Na mara nyingi haliwezi fanya kazi kwa watu wote wakati wote. Na hata mshauri wa mambo ya ndoa mkubwa unayemfahamu naye ana matatizo ktk ndoa yake. Hivyo hakuna jibu kamala hesabu. Maisha hayako fair, na mahusiano hayako fair zaidi. Binadamu hawezi kuwa mkamilifu, hivyo kama hakuna kuchukuliana mizigo hakuna mahusiano kamwe. Be content, jiamini na muamini Mungu na mpende mwenzio. Amini Mungu kuruhusu chochote kutokea ktk maisha yako, anajua you can handle it na amekupa enough grace to take uou through. Majaribu LAZIMA YAJE. Tafuta wimbo wa The Martins ...This is the promise.
hili la kukumiss hakiiiii naumwaaaaaaa!