Nakumbukuka sana tabasamu lako siku za mwanzo liliweza kabisa kutibu magonja yote niliyokuwa nayo hata bila ya Dr.
Nakumbuka tulivyokua tunatembea tumeshikana mikono huku tunapiga story nzuri za maisha..
Nakumbuka sana ulikua karibu na wazazi pamoja na ndugu zangu..ulikua ukiwapigia simu mara kwa mara kuwasalimu..
Nakumbuka siku za mwanzo hukupaona kwetu mbali.... ulitabasamu na kumfurahia kila uliyemkuta nyumbani.
Nakumbuka pia ulinifanya niwe nadhifu.... mara kwa mara nilikuta suprise ya kabati langu kupangwa vizuri..getto likiwalimefanyiwa usafi na mezani nilikuta umuniandalia chakula na ki-note cha I love u.
Nakumbuka tulikua tunapiga gemu mpaka ukitembea unapepesuka....
Nakumbuka sana kunywa kwangu bia hakukutatiza......
Nakumbuka wakati nakupitia chuo kukurudisha nyumbani kwenu.. nilikushika mkono kukuvusha barabara na kukukinga na fujo za kugombania daladala kama mtoto na mzazi..Ingawa sikuwa na gari lakini ulikua na furaha.
Kwa kweli ni mengi sana mpaka saa nyingine nikitafakari machozi ya furaha hunidondoka.
Sikuambayo sita isahau ni pale kanisani St Peters ulipokua unashuka kwenye gari...uzuri wako ulizidi ukawa kama malaika....ulinitabasamia alafu ukanikonyeza ..na mimi nikakukoneza. Ni siku tulipokula kiapo cha ndoa.
Sasa ivi ni miaka imepita Mungu ametujalia kila kitu kizuri....na cha zaidi ni watoto wazuri na wenye afya nzuri,
Yote ya nyuma umeyAsahau..umebadilika umekua kiumbe mwingine..sikumbuki ni lini tumeshikana mikono au kiuno barabarani.. nimelisahau tabasamu lako zuri.... hutaki kusikia sina pesa..daladala imekua ni kero kwako...siku izi kwa mama naenda mwenyewe, pamekua mbali. Mama akiniuliza nashindwa kumjibu.
Bia imekua kero kwako.... nikinywa hata moja unalalamzungu wa nne eti Harufu. Siku hizi Gemu limekua la manati na lakuvizia.
Sikumbuki tena ni lini umepasi nguo zangu..chakula chako kitamu nimekimiss....
Nimeumiss urafiki tuliokua nao...umepata marafiki wengine huko kazini kwako.... uko nao busy hata ukirudi home unaendelea kuchati nao kwenye simu.
Mwanayumba nakupenda sana kwa nini umebadIlika hivyo...nini kimetokea?
KAMA NDOA/MAUHUSIANO YAKO INAMATATIZO NA MLITOKA MBALI NA MWENZA WAKO TENGENEZA STORY KAMA HII ALAFU UKAMWELEZE MWENZA WAKO. HII NI STORY TU WANA JF.
Nakumbuka tulivyokua tunatembea tumeshikana mikono huku tunapiga story nzuri za maisha..
Nakumbuka sana ulikua karibu na wazazi pamoja na ndugu zangu..ulikua ukiwapigia simu mara kwa mara kuwasalimu..
Nakumbuka siku za mwanzo hukupaona kwetu mbali.... ulitabasamu na kumfurahia kila uliyemkuta nyumbani.
Nakumbuka pia ulinifanya niwe nadhifu.... mara kwa mara nilikuta suprise ya kabati langu kupangwa vizuri..getto likiwalimefanyiwa usafi na mezani nilikuta umuniandalia chakula na ki-note cha I love u.
Nakumbuka tulikua tunapiga gemu mpaka ukitembea unapepesuka....
Nakumbuka sana kunywa kwangu bia hakukutatiza......
Nakumbuka wakati nakupitia chuo kukurudisha nyumbani kwenu.. nilikushika mkono kukuvusha barabara na kukukinga na fujo za kugombania daladala kama mtoto na mzazi..Ingawa sikuwa na gari lakini ulikua na furaha.
Kwa kweli ni mengi sana mpaka saa nyingine nikitafakari machozi ya furaha hunidondoka.
Sikuambayo sita isahau ni pale kanisani St Peters ulipokua unashuka kwenye gari...uzuri wako ulizidi ukawa kama malaika....ulinitabasamia alafu ukanikonyeza ..na mimi nikakukoneza. Ni siku tulipokula kiapo cha ndoa.
Sasa ivi ni miaka imepita Mungu ametujalia kila kitu kizuri....na cha zaidi ni watoto wazuri na wenye afya nzuri,
Yote ya nyuma umeyAsahau..umebadilika umekua kiumbe mwingine..sikumbuki ni lini tumeshikana mikono au kiuno barabarani.. nimelisahau tabasamu lako zuri.... hutaki kusikia sina pesa..daladala imekua ni kero kwako...siku izi kwa mama naenda mwenyewe, pamekua mbali. Mama akiniuliza nashindwa kumjibu.
Bia imekua kero kwako.... nikinywa hata moja unalalamzungu wa nne eti Harufu. Siku hizi Gemu limekua la manati na lakuvizia.
Sikumbuki tena ni lini umepasi nguo zangu..chakula chako kitamu nimekimiss....
Nimeumiss urafiki tuliokua nao...umepata marafiki wengine huko kazini kwako.... uko nao busy hata ukirudi home unaendelea kuchati nao kwenye simu.
Mwanayumba nakupenda sana kwa nini umebadIlika hivyo...nini kimetokea?
KAMA NDOA/MAUHUSIANO YAKO INAMATATIZO NA MLITOKA MBALI NA MWENZA WAKO TENGENEZA STORY KAMA HII ALAFU UKAMWELEZE MWENZA WAKO. HII NI STORY TU WANA JF.