Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
@Komandoo umesema ukweli unaouma. Ila watz hata tukiunganisha nguvu uaminifu hamna. Angalia kilichotokea NICO ambapo tulitegemea walau wawe chachu ya kuunganisha nguvu baina yetu. Kwa kweli tutalia hadi siku ya kiama bila mafanikio. Nadhani Nakumatt watakuwa wapangaji pale inapojengwa complex ya AICC kwa kushirikiana na LAPF. Na kama hilo litatolea utakuwa ndio mwisho wa shoprite Arusha kutokana na business location kuwa-favour NAKUMATT. Poor TZ!