sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Kongosho alisema angekuja kukupokea, bado hamjaonana?mwenyeji wa jf bado bana!
Kongosho alisema angekuja kukupokea, bado hamjaonana?mwenyeji wa jf bado bana!
Kongosho alisema angekuja kukupokea, bado hamjaonana?
Hahahaha! Uwiii mbavu zangu lol..Kongosho?!!ningekimbia kama sina akili nzuri!huyo nishamuambia kama kukutana kituo cha polisi labda!Kongosho haelewekagi,unaweza kudhani anakuja msichana mrembo kumbe.......
Karibu mjini!
Karibu mjini!
Mbona mwenye nyumba amewasilisha madai mapya aise anakudai mahari ya mtoto wake ambaye uliahidi utamuoa
Wifi kakangu kakuruhusu kukaribisha wageni?
Boflo,nakuja na zawadi yako...nimekununulia Cd ya Baikoko!lakini nitamtafuta Yahoo akuletee!teh!teh!teh
boflo ana hasira hasije kukutukana bure lakini kiboko yake mama mkwe wangu
mkuu unalala saa ngapi wewe?
mie nalala now, naomba unibip saa 12.00 asubuhi niwahi kuwatumikia Watanzania
Inawezekana kbs,asante binti mtambuzi!we si ulisoma mkwawa?huenda tunafahamiana!
My swty wifi,Wifi kakangu kakuruhusu kukaribisha wageni?
My swty wifi,
Huyu ni classment jaman,
Na akija atawsiliana na kaka yako ndio tumkaribishe kwetu!
Jaman mbona shem wangu Nitty sijamuona pande hizi siku nyingi?
Inawezekana kbs,
Ukimaliza mizunguko yako wasiliana na mme wangu rejao ukaribie kwetu lol!
tena kuna sehemu umeandika umesoma Narumu!mke wangu alisoma hapo pia!mmeo Rejao tulishaanza kuwasiliana hapa ghafla kapotea!ila mmeo mtu poa sana na lipua lake lile ila kule kwenye siasa anakera watu!wanaweza wakamlipua kule!
Hahha hahhha hahahha,haswaa!mdada yeyote atakayependa kukutana nami tukutane akiwa na mmewe au bf wake!kama yupo single siku nyingine nikiwa na mke wangu ndio tukutane!mambo ya Mtambuzi na Saniah sitaki yanitokee!lol!tena wadada wa dar wanadhani wanaume wa arusha wana hela za mawe!
Duh!inawezekana nimesoma na mkeo pia,
Mme wangu lzm itakua kule kwenye siasa ndio anapopapenda,kumlipua hawawezi kwan huwa anacheza karata zake vizuri na ambao hawajamzoea wakiingia kichwa kichwa wanakula BAN na kumwacha swty wangu anapeta tu,
Mie kule naishiaga kumsoma tu mapwein yake na watu wanatoa mapovu uatafikiri wanamwona kumbe ni kii bodi tu!!!