wana jf kuna kitu nakikosa kwenye huu ulimwengu wa mapenzi kutoka kwa wanawake anything i do for her but i mc the real love nimejivua gamba sasa nimeamua kuwa alone for a while
Loreen kuna mahali nimeona na wewe unalalamika,au sio wewe?pole ila ulitaka upendwaje?
Usilazimishe. Kuamua kua alone for a while kutakusaidia sana...
Alafu hata kwenye mahusiano (when you find one you like and who likes you) just be yourself. Usilazimishe kuonesha mapenzi kuliko yale unayo hisi. Kua kawaida tu, yale unayo hisi muoneshe but don't fake it.
Well, by normal I meant natural. Kama wewe unaona ndio kawaida yako hivo basi fanya hivo tu. Atakae vutiwa na hivyo vitu atavutiwa huku akijua that's just the way you are. Kuna watu wanalazimisha kufanya vitu sababu wanadhani it will impress their lovers kumbe ndio wanaharibu. Just be yourself.nashukuru but siweze kuonyesha a normal mapenzi aiseee huwaga nataka everybody ana enjoy mfano vitu vidogo vidogo kwangu vinamata sana kuliko vitu vikubwa mfano jorking, charting, decision, self determination, smartness, argument and more like that ni tuvitu 2dogo lakini navipenda sana halafu tatizo ucheshi wangu ndo unanigharimu aiseeeeee
pole ila ulitaka upendwaje?