Nakosa mapenzi

SYENDEKE

Senior Member
Jul 18, 2011
169
26
wana jf kuna kitu nakikosa kwenye huu ulimwengu wa mapenzi kutoka kwa wanawake anything i do for her but i mc the real love nimejivua gamba sasa nimeamua kuwa alone for a while
 
Usilazimishe. Kuamua kua alone for a while kutakusaidia sana...
Alafu hata kwenye mahusiano (when you find one you like and who likes you) just be yourself. Usilazimishe kuonesha mapenzi kuliko yale unayo hisi. Kua kawaida tu, yale unayo hisi muoneshe but don't fake it.
 
Pole sn,but unapoona mambo hayaendi vizuri haina haja ya kulazimisha na kujikuta huenjoy hayo mapnz yenyewe,u ni uamuzi mzuri jipe mda kujipanga upya na kutafakari mapungufu yako na kuwa na tageti ya aina ya mtu unaehitaji na kuanza upya!
 
wana jf kuna kitu nakikosa kwenye huu ulimwengu wa mapenzi kutoka kwa wanawake anything i do for her but i mc the real love nimejivua gamba sasa nimeamua kuwa alone for a while

Je huna skendo ya kale kaugonjwa ketu maana? Gossips spead like wild fire
 
Endelea tuu kupenda kwani hakuna guarantee kwamba ukistay alone for a while as u put it cku ikifika na ukaamua kupenda tena u wil find the one wit tht ril u wish to b given.
 
Usilazimishe. Kuamua kua alone for a while kutakusaidia sana...
Alafu hata kwenye mahusiano (when you find one you like and who likes you) just be yourself. Usilazimishe kuonesha mapenzi kuliko yale unayo hisi. Kua kawaida tu, yale unayo hisi muoneshe but don't fake it.

nashukuru but siweze kuonyesha a normal mapenzi aiseee huwaga nataka everybody ana enjoy mfano vitu vidogo vidogo kwangu vinamata sana kuliko vitu vikubwa mfano jorking, charting, decision, self determination, smartness, argument and more like that ni tuvitu 2dogo lakini navipenda sana halafu tatizo ucheshi wangu ndo unanigharimu aiseeeeee
 
ok but ngoje nicheck na upande mwingine kuliko haya mapenzi mkono mmoja siyawezi kwasasa
 
ee ila jamani haya mapenzi hata sijui nani aliyaleta,kila siku watu kulia aaaagh

i think kama ni kitu kinacho kuja automatically no body decide to come whatever unataka au hutaki automatically utakuwa involved on this so is an kwepabo
 
nashukuru but siweze kuonyesha a normal mapenzi aiseee huwaga nataka everybody ana enjoy mfano vitu vidogo vidogo kwangu vinamata sana kuliko vitu vikubwa mfano jorking, charting, decision, self determination, smartness, argument and more like that ni tuvitu 2dogo lakini navipenda sana halafu tatizo ucheshi wangu ndo unanigharimu aiseeeeee
Well, by normal I meant natural. Kama wewe unaona ndio kawaida yako hivo basi fanya hivo tu. Atakae vutiwa na hivyo vitu atavutiwa huku akijua that's just the way you are. Kuna watu wanalazimisha kufanya vitu sababu wanadhani it will impress their lovers kumbe ndio wanaharibu. Just be yourself.
 
pole ila ulitaka upendwaje?

nashukuru but huwaga nataka everybody ana enjoy mfano vitu vidogo vidogo kwangu vinamata sana kuliko vitu vikubwa mfano jorking, charting, decision, self determination, smartness, argument and more like that ni tuvitu 2dogo lakini navipenda sana halafu tatizo ucheshi wangu ndo unanigharimu aiseeeeee. halafu mapenzi ya kinafiki huwa sitaki kabisa na kitu kingine mapenzi yanakuwa na mkono mmoja as if kama mimi nimeumbwa kwa ajili ya somebody and not me 4somebody
mfano loreen how do u feel when mapenzi yanavyo kuwa ya mkono mmoja did u like it or what?

unapelaka 80% unapewa 20% kunahaki hapa or any ratio here
 
Back
Top Bottom