Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Aaa Burn unaharibu...si kila mtu wa Mungu ni msanii. Hao ulionao ni hao..lakini usigeneralize, hiyo i fallacy. Wahenga walisema do not make a rule out of a special case!
Kakae, we tafuta mchungaji akusaidie kukua kiroho! ushauri wa burn, kama kawaida yake, sawa na nguvu za giza!
wengi wanaamini hivi, kuna wachungaji weng wana kazi zao pia na wana maisha mazuri based on their professional work.Pia wengi husaidia sana wasiojiweza.Kuna wachungaji kweli wako kwa ajili ya kusaidia watu na sio pesa kama ndugu yangu Burn anavyoamini.