Nakiri nilikosea....leo naongea kila kitu ili nipone hii tabia yangu mbaya

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,819
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo
aaaah!
wanawake walivyojazana hivi bado kuna watu DOMO-ZEGE?
 
Hii ni PHYSCHO issue, nakushauri uoe haraka iwezekanavyo then utakuwa huna mda wa kwenda kupiga chabo, pia utakuwa unatumia muda wa kupiga chabo kwa kujipiga chabo na mke wako.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwam
ba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

Mkuu napita shida sana kuamini kama m2 wa miaka 26. aliyehitimu Elimu ya juu can do this!! please Tell us you have made this story. yaani imekataa kuniingia akilini kabsaaa!!
 
nenda jolly-club pale.wao wanataka mkwanja!SIO KUTONGOZA.watakufundisha utamu na raha ya ile kitu
 
Hehehe nashangaa hujapoteza uwezo wa kuona.

Kama mdomo wa chini ni mzito endeleza ngunga kaka usihofu maana unajipimia mwenyewe maana zilizo halisi nyingi ni bwanga!!!

utani tu kaka. tuliza kindulu umri wako bado sana maana kama ungeanza tusingepata michango yako hapa. subiri mpaka ufike 30 yrs ndipo uende darasa la kutongoza. UNA DADA? kama yes nitumie namba yake nitampa ujumbe wako kwake akuambie
 
Hii ni PHYSCHO issue, nakushauri uoe haraka iwezekanavyo then utakuwa huna mda wa kwenda kupiga chabo, pia utakuwa unatumia muda wa kupiga chabo kwa kujipiga chabo na mke wako.
tunamuuguza jirani yetu ameteguka mguu, kisa alikuwa anampiga chabo mkewe bafuni akioga tena choo cha nje teh!
 
kwa taarifa yako uliyekua unamchabo ndiye mimi!! kwa usalama zaidi pale ghetto usifiki!! nina hasira na wewe sana
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, .
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
nahisi kama ni hadithi ya kutunga kuchangamsha jamvi , ila sikupuuzi mwanajamii mwenzangu kwa tatizo lako.
hujamalizia mkasa , je ulipoanguka toka darini walikufanyaje, walikupiga wakakuacha, je hawakukuitia mwizi, je majirani zake walitambua kua hiyo ni matokeo ya chabo ama ....ukifafanua mazingira hayo utakua umetufumbua macho juu ya mkasa.
pole kwa tabia yako mbaya na ya aibu , adui yako mkubwa ni akili yako, hakuna raha yoyote kupitia chabo, ni kujilisha upepo tu, bila shaka umepata somo maridhawa.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

huyu shujaa inabidi tutafute jina moja la barabara hapa bongo tuiite jina lake (bujibuji road).
kwa ufupi greati thinka hapa uko beyondi repair! labda kichapo cha wananchi wenye hasira kali ndio kinaweza kukubadilishia mtindo wa maisha wa laifustaili yako.
pole sana! wakikujeruhi utatuPM.
 
kwa taarifa yako uliyekua unamchabo ndiye mimi!! kwa usalama zaidi pale ghetto usifiki!! nina hasira na wewe sana

Ohooo mchunie mwenzako hiyo si hali ya kawaida..
Kaka nakushauri uende ukamwone daktari wa psychology haraka iwezekanavyo...u av a psycho problem!
The next thing ukipata chance utabaka hata ndugu yako..watch out na kama uko serious, run to a doctor!now..usimalizie kusoma..
 
Hii ni PHYSCHO issue, nakushauri uoe haraka iwezekanavyo then utakuwa huna mda wa kwenda kupiga chabo, pia utakuwa unatumia muda wa kupiga chabo kwa kujipiga chabo na mke wako.

sifikiri kama kuoa ni suluhisho la tatizo la huyu jamaa maana huyu nimwathirika tatizo hapa nchi kwetu hatuna wataalamu wa kutosha wa kuweza kumsaidi huyu jamaa huyu jaama anatakiwa afundiswe kutumia akili yake kufikiri upya kuhusu hili jambo maana watu kama hawa utashangaa anaoa na anaenda kupiga chabo ni aweze kuja kulala na mkewe ni swala la jinsi anavyofikiri zaidi kuliko unavyowza kufikiri
 
wewe bujibuji umeoyesha udhaifu mkubwa sana!

SHAME ON YOU MAAN!
 
Du dunia kweli ina mengi!
Pole kaka, hii ni addiction kama zilivyo nyingine such as madawa ya kulevya, bangi, punyeto na hata porno.
Watu wasikunyooshe vidole , unaweza kuta nao wameathirika na mengine kati ya hayo nilotaja. Mungu kakusaidia umekuwa mkweli (kama ni kweli story yenyewe), hiyo ni right direction, so mi nashauri uende umtafute dr, kuna dada mmoja anaitwaga sadaka, sijui kwa undani lakini nadhani kazi hizi anaziweza. Cha zaidi, unaweza kumrudia Mungu na kutubu na kuomba akusaidie uushinde huo udhaifu. Go bless.
 
kwa taarifa yako uliyekua unamchabo ndiye mimi!! kwa usalama zaidi pale ghetto usifiki!! nina hasira na wewe sana
Kwani shida ni nini jamani? I think the man was in the learning process. Anastahili pole badala ya vipondo kwani aliumia wakati akiwa mazoezini. Pole Bujibuji kama ni wewe kama ni mwingine mpe pole pia. Ila ushauri wa Nguli is more suitable
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo
Tembelea thread ya mambo ya kikubwa nadhani usingizi utakuja baada ya kulowanisha mkono na tumbegu twa kiume. ila nakushauri tumia olive oil maana sabuni za siku hizi zimetoka china zinakwangua mashine kinoma unaweza ukatoka na mabaka kama kenge huko kwenye mpingo ohoo
 
Tembelea thread ya mambo ya kikubwa nadhani usingizi utakuja baada ya kulowanisha mkono na tumbegu twa kiume. ila nakushauri tumia olive oil maana sabuni za siku hizi zimetoka china zinakwangua mashine kinoma unaweza ukatoka na mabaka kama kenge huko kwenye mpingo ohoo

LOL! Puli tena? huo ugonjwa mwingine.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

wewe badala ya kuwaza pesa unawaza kula kozi ya deo? pole kijana
 
Back
Top Bottom