salosalo
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 596
- 278
Mapema hapo jana Mh. spika wa bunge la jamhuri ya muungano alikuwa akizuia wambunge kuzungumzia swala la mgomo wa madaktari eti sababu swala hilo liko mahakamani. Ni mangapi yanakuwa mahakamani na yanazungumziwa katika ukawaida wake bila kuhukumu? kama wabunge ambao ndio wasemaji wetu walizuiwa kutusemea majanga yanayotusibu(janga la kupoteza maisha) nani tena atatusemea?
kiukweli hali ile imenikera sana na imeonyesha dhahiri kuwa spika alipewa maelezo ya kufanya hivyo na upande wa serikali yaani Mawaziri. mbaya zaidi iko kama hata TV ya taifa TBC imekatazwa kuripoti chochote kuhusu mgomo wa madaktari maana taarifa ya habari ya saa 2 usiku hawajasema chochote kuhusu hali ya wagonjwa hospitalini. sitaki kamini kuwa habari hii wameona haina mvuto mvuto kiasi cha kutorushwa. lazima ni serikali imewaamuru wasifanye hivyo Na sasa naamini zile sababu za nyuma ya pazia zinazosemekana ndio zilizo muondoa bwana Tido Mhando kwenye kiti cha Mkurugenzi wa TBC. Kweli tutafika?
Mahakama nayo si huru, inafanya kazi kwa kuongozwa na serikali. Hapakuwa na haja ya kusitisha Mgomo wa Madaktari huku ikijua serikali imeshindwa kutekeleza makubaliano ya awali. yaani sijui nisemeje mnielewe hiki kitu nnachotaka niwaeleweshe
kiukweli hali ile imenikera sana na imeonyesha dhahiri kuwa spika alipewa maelezo ya kufanya hivyo na upande wa serikali yaani Mawaziri. mbaya zaidi iko kama hata TV ya taifa TBC imekatazwa kuripoti chochote kuhusu mgomo wa madaktari maana taarifa ya habari ya saa 2 usiku hawajasema chochote kuhusu hali ya wagonjwa hospitalini. sitaki kamini kuwa habari hii wameona haina mvuto mvuto kiasi cha kutorushwa. lazima ni serikali imewaamuru wasifanye hivyo Na sasa naamini zile sababu za nyuma ya pazia zinazosemekana ndio zilizo muondoa bwana Tido Mhando kwenye kiti cha Mkurugenzi wa TBC. Kweli tutafika?
Mahakama nayo si huru, inafanya kazi kwa kuongozwa na serikali. Hapakuwa na haja ya kusitisha Mgomo wa Madaktari huku ikijua serikali imeshindwa kutekeleza makubaliano ya awali. yaani sijui nisemeje mnielewe hiki kitu nnachotaka niwaeleweshe