Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Habari mkuu, nimeandikiwa dozi ya typhod baada ya kupimwa, kisha nikapewa dawa imeandikwa CIPROBUD ( ciprofloxacin) dozi ni 1*2 ,, ila kwa bahati mbaya sijaelewa hio 1*2
Je inamaanisha vidonge viwili kwa siku ( nimeze kwa pamoja mda wa asbh tu kwa siku) au vidonge viwili kwa siku (kimoja asubuhi na kimoja jioni)??

Shukran za dhati kwako kwa thread hii
 
Habari mkuu, nimeandikiwa dozi ya typhod baada ya kupimwa, kisha nikapewa dawa imeandikwa CIPROBUD ( ciprofloxacin) dozi ni 1*2 ,, ila kwa bahati mbaya sijaelewa hio 1*2
Je inamaanisha vidonge viwili kwa siku ( nimeze kwa pamoja mda wa asbh tu kwa siku) au vidonge viwili kwa siku (kimoja asubuhi na kimoja jioni)??

Shukran za dhati kwako kwa thread hii

Kidonge kimoja mara mbili kwa siku kumaanisha kimoja asubuhi na kimoja jioni!
 
Je ni sahihi kwa mjamzito kutumia fernegan? (sina hakika kama nimepatia spelling)
 
Matibabu ya ugonjwa wa gono au gonorrea kwa mwanaume na mwanamke ni yapi?? je kuna dawa ambayo unaweza kuinunua duka lolote la madawa ukaitumia na tatizo kuisha???

Tiba utaipata hospitali kwa daktari ni lazima ichukuliwe culture sikushauri ukanunue dawa kiholela tu utumie.

Ni aidha sindano ya cefatriaxone 500mg au azithromycin 2g oral tablets as one dose.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Je ni sahihi kwa mjamzito kutumia fernegan? (sina hakika kama nimepatia spelling)

Ni Phenergan(active ingredient ni promethazine hydrochlorid).Inaweza kutumika kwa mjamzito baada ya daktari kutathimini risk against benefits.

Athari kwa mtoto ni ndogo. Haitakiwi kutumika kwa mjamzito aliye kwenye 3rd trimester
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtaalamu naomba msaada wako sijui naumwa nini yaani kama wiki moja imepita nahisi vidole vyangu viwili cha kati na cha shahada karibu na kwenye kucha hivi vidole vinakufa ganzi.
sasa nachoomba mtaalamu unisaidie jina huu ugonjwa na tiba yake tafadhali.

Vinakufa ganzi kwa muda gani?hali hio imeanza lini na ina muda gani?vidole kufa ganzi vinasababishwa na blood circulation kutokuwa nzuri?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni Phenergan(active ingredient ni promethazine hydrochlorid.Inaweza kutumika kwa mjamzito baada ya daktari kutathimini risk against benefits.Athari kwa mtoto ni ndogo.Haitakiwi kutumika kwa mjamzito aliye kwenye 3rd trimester

Nashukuru sana mpendwa.

I have another qn
Msichana wangu wa kazi ana tatizo la kusumbuliwa na misuli ya miguu na mikono humuuma mara kwa mare, nimempeleka hospital ila akapewa tu dawa za kutuliza maumivu, daktari alidai inatokana na uchovu, nikashangaa maana hakuna kazi nzito azifanyazo zaidi ya usafi na upishi na sio mara zote maana nguo zangu na mume wangu hufua mwenyewe, na kupika huwa mara nyingi napika mwenyewe hasa huby akiwepo, ila nilipomuuliza aliniambia ni tatizo alilo nalo since akiwa mdogo, unanishauri nini zaidi?
 
Nashukuru sana mpendwa.

I have another qn
Msichana wangu wa kazi ana tatizo la kusumbuliwa na misuli ya miguu na mikono humuuma mara kwa mare, nimempeleka hospital ila akapewa tu dawa za kutuliza maumivu, daktari alidai inatokana na uchovu, nikashangaa maana hakuna kazi nzito azifanyazo zaidi ya usafi na upishi na sio mara zote maana nguo zangu na mume wangu hufua mwenyewe, na kupika huwa mara nyingi napika mwenyewe hasa huby akiwepo, ila nilipomuuliza aliniambia ni tatizo alilo nalo since akiwa mdogo, unanishauri nini zaidi?

Ni misuli au joints(viuungio)?
 
Me ninaomba unisaidie ni dawa gani nitumie coz ninasumbuliwa na tatizo la kuwashwa mwili nikisha oga nikiwmagikiwa na maji alafu pia huwa linanipata wakati wa baridi huwa ninawashwa sana na sijui tatizo ni nini! Please Doctor help me!
 
Vinakufa ganzi kwa muda gani?hali hio imeanza lini na ina muda gani?vidole kufa ganzi vinasababishwa na blood circulation kutokuwa nzuri?

Mkuu
hili tatizo la vidole kufa ganzi kama ulisoma vizuri kwenye swali langu nimesema tatizo lina wiki moja sasa nahii kitu imeanza ghafla.

umeniambia cause ni blood circulation si nzuri, "sawa" kinachonishangaza kama blood circulation sio nzuri kwanini ni vidole viwili tu vya mkono wa kulia tena karibu na ku-chani na kwanini isiwe mkono wote au vidole vyote mkuu?

Samahani mkuu kama utaweza naomba unisaidie nitumie dawa gani ili hili tatizo liishe.
Natanguliza shukrani na Mwenyezi Mungu akubariki
 
Sio viungio ni misuli hasa ya miguu na mikono, na ikitokea ni mpaka atumie dawa ya maumivu
Hello atoto ni ngumu kudiagnose maumivu ya misuli na dawa zilizopo ni za kupunguza maumivu tu au upasuaji.

Lakini umesema anasumbuliwa na tatizo hilo tangia utotoni namshauri akapime damu na acheki ugonjwa unaoitwa RHABDOMYOLYSIS.

Rhabdomyolysis ni ugonjwa wa misuli unaosababishwa na break down ya muscles na muscle fibers. Ugonjwa huu unasababishwa na damage tofauti za misuli. Ni muhimu pia acheki kiwango chake cha mkojo kwasababu ugonjwa huu husababisha renal failure kwasababu ile muscle break inaenda kwenye damu na hatimae kwenye mafigo na kusababisha mafigo kushindwa kuondoa mabaki ya concentrated urine.

Au ugonjwa mwengine ni MUSCLE DYSTROPHY ni magonjwa yanayosababisha muscles kuwa weak na less flexible over time.Hii inasababishwa na genes na jinsi zinavyofanya kazi kusababisha muscles ziwe healthy.

Namshauri akafanyiwe uchunguzi zaidi hospitali ili uhakika upatikane.
 
Last edited by a moderator:
Mkuuhili tatizo la vidole kufa ganzi kama ulisoma vizuri kwenye swali langu nimesema tatizo lina wiki moja sasa nahii kitu imeanza ghafla.umeniambia cause ni blood circulation si nzuri, "sawa" kinachonishangaza kama blood circulation sio nzuri kwanini ni vidole viwili tu vya mkono wa kulia tena karibu na ku-chani na kwanini isiwe mkono wote au vidole vyote mkuu?Samahani mkuu kama utaweza naomba unisaidie nitumie dawa gani ili hili tatizo liishe.Natanguliza shukrani na Mwenyezi Mungu akubariki
Raynauds disease ni ugonjwa unaosababisha eneo la vidole vya mikono au miguu kufa ganzi kutokana na stress, au mabadiliko ya temperature.

Vidole vikifa ganzi ni kutokana na mishipa ya damu ina contract na kusababisha kutokuwa na mzunguko wa kutosha wa damu. Baada ya muda hii mishipa ina thicken na kupelekea mzunguko wa damu kuwa dhoofu zaidi.Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na vitu tofauti kama connective tissue disease (sjogrens, rheumatoid artitis,lupus),ugonjwa kwenye mishipa ya damu kama atheroscleorosis, uvutaji wa sigara, majeraha kwenye eneo la vidole au matumizi ya baadhi ya dawa kama betablockers au triptanes.

Tiba zinatumikana kutokana na ukubwa wa tatizo na dawa zinazotumika ni calcium channel blockers kama amlodipine, felodipine au vasodilators kama cozaar/losartan.

Nenda kaonane na daktari ili upate uhakika juu ya hili.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hello atoto ni ngumu kudiagnose maumivu ya misuli na dawa zilizopo ni za kupunguza maumivu tu au upasuaji.Lakini umesema anasumbuliwa na tatizo hilo tangia utotoni namshauri akapime damu na acheki ugonjwa unaoitwa RHABDOMYOLYSIS.Rhabdomyolysis ni ugonjwa wa misuli unaosababishwa na break down ya muscles na muscle fibers.Ugonjwa huu unasababishwa na damage tofauti za misuli.Ni muhimu pia acheki kiwango chake cha mkojo kwasababu ugonjwa huu husababisha renal failure kwasababu ile muscle break inaenda kwenye damu na hatimae kwenye mafigo na kusababisha mafigo kushindwa kuondoa mabaki ya concentrated urine.Au ugonjwa mwengine ni MUSCLE DYSTROPHY ni magonjwa yanayosababisha muscles kuwa weak na less flexible over time.Hii inasababishwa na genes na jinsi zinavyofanya kazi kusababisha muscles ziwe healthy.Namshauri akafanyiwe uchunguzi zaidi hospitali ili uhakika upatikane.

Thanks in advance, nitampeleka
 
Last edited by a moderator:
Me ninaomba unisaidie ni dawa gani nitumie coz ninasumbuliwa na tatizo la kuwashwa mwili nikisha oga nikiwmagikiwa na maji alafu pia huwa linanipata wakati wa baridi huwa ninawashwa sana na sijui tatizo ni nini! Please Doctor help me!
Naomba ujaribu kuchunguza maji unayoogea?je umejaribu kuogea maji ya source za aina tofauti ukaona unareact vipi mfano maji ya kisima!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Dr gorgeousmimi Kuna condition moja ya moyo inaitwa mitral valve prolapse, inasemekana si life threatening kwa sana na mgonjwa anaweza kuishi nayo akivumilia maumivu ya hapa na pale, majuzi kuna thread entitled 'Maradhi ya moyo Kutanuka' ilieleza Miongoni mwa mambo mengi kuhusu dalili hizo za moyo kutanuka. Ambazo ni

Mapigo ya moyo kwenda kasi
mara kadhaa
moyo kulipuka mara kwa mara
kuhisi hali ya mwili kunyongonyea/ kupoteza nguvu
miguu kuwa baridi au kufa ganzi
wakati mwingine vidole kufa ganzi
na kukakamaa
maumivu kwenye moyo (heart pain)
vichomi na kifua kubana
maumivu kwenye chemba ya moyo

Kuna dalili naona zinadhihiri sana kwangu kama, maumivu kwenye moyo, miguu kufa ganzi, ugumu wa kuvuta na kutoa hewa. Licha ya hayo kila nifanyapo vipimo kila kitu ktk moyo huonekana ni normal (apart
From mild mitral valve prolapse).

Je condition hii ya mitral valve huweza kufikia kusababisha moyo kutanuka? Kuna tiba yoyote ya asili kama vyakula ( vya kula na kutokula) unavyoweza kupendekeza? Shukran
 
Last edited by a moderator:
Raynauds disease ni ugonjwa unaosababisha eneo la vidole vya mikono au miguu kufa ganzi kutokana na stress,au mabadiliko ya temperature.Vidole vikifa ganzi ni kutokana na mishipa ya damu ina contract na kusababisha kutokuwa na mzunguko wa kutosha wa damu.Baada ya muda hii mishipa ina thicken na kupelekea mzunguko wa damu kuwa dhoofu zaidi.Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na vitu tofauti kama connective tissue disease(sjogrens,rheumatoid artitis,lupus),ugonjwa kwenye mishipa ya damu kama atheroscleorosis,uvutaji wa sigara,majeraha kwenye eneo la vidole au matumizi ya baadhi ya dawa kama betablockers au triptanes.Tiba zinatumikana kutokana na ukubwa wa tatizo na dawa zinazotumika ni calcium channel blockers kama amlodipine,felodipine au vasodilators kama cozaar/losartan.Nenda kaonane na daktari ili upate uhakika juu ya hili.

Ahsante mkuu
 
Dr gorgeousmimi Kuna condition moja ya moyo inaitwa mitral valve prolapse, inasemekana si life threatening kwa sana na mgonjwa anaweza kuishi nayo akivumilia maumivu ya hapa na pale, majuzi kuna thread entitled 'Maradhi ya moyo Kutanuka' ilieleza Miongoni mwa mambo mengi kuhusu dalili hizo za moyo kutanuka. Ambazo ni

Mapigo ya moyo kwenda kasi
mara kadhaa
moyo kulipuka mara kwa mara
kuhisi hali ya mwili kunyongonyea/ kupoteza nguvu
miguu kuwa baridi au kufa ganzi
wakati mwingine vidole kufa ganzi
na kukakamaa
maumivu kwenye moyo (heart pain)
vichomi na kifua kubana
maumivu kwenye chemba ya moyo

Kuna dalili naona zinadhihiri sana kwangu kama, maumivu kwenye moyo, miguu kufa ganzi, ugumu wa kuvuta na kutoa hewa. Licha ya hayo kila nifanyapo vipimo kila kitu ktk moyo huonekana ni normal (apart
From mild mitral valve prolapse). Je condition hii ya mitral valve huweza kufikia kusababisha moyo kutanuka? Kuna tiba yoyote ya asili kama vyakula ( vya kula na kutokula) unavyoweza kupendekeza? Shukran

Ndio kuna possibilty hio lkn ni ndogo.Kula lishe bora yenye virutubisho na madini muhimu ambayo yanahitajika mwilini.

Madini ya magnesium na calcium ni mazuri kwa misuli ya moyo. Yanapatikana kwenye mboga za majani, nuts, maziwa na product za maziwa, pamoja na nafaka/corns ambazo hazijakobolewa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom