Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nini side effect ya kutumia FLUXAMOX... matumiz yake within seven days inaweza kupelekea kusikia kichwa kuwa kizito sometimes hasa ukiinana au ukitembea mwendo mrefu kdg na kichwaa kuuma...au hii hali ni ishu nyingine
 
Ni dawa gani inatibu VDRL Kama sindano za cef zimeshindwa. Hakuna dawa nyingine
 
Tatizo la kutokula vizuri na kukosa choo had siku tatu..
Soma post no 150.Hupati choo kwahio ndio maana huli vizuri kwasababu tumbo linakuwa limejaa.

Jijengee tabia ya kula milo mitatu- minne kwa siku yenye mbogamboga za kutosha na matunda kama mapapai.

Kunywa maji mengi pia.
 
atug nimegusia kuhusu athari za antibiotics kwenye post no 453, si kawaida kuumwa na kichwa na kuhisi ni kizito ukiwa kwenye antibiotic cure.

Kuna uwezekano ni infection ulokuwa nayo inapeleka hali hio. Nakushauri uangalie hali yako itaendeleaje ukimaliza antibiotic na kama hakuna unafuu kaonane na daktari.
 
Last edited by a moderator:
Ni dawa gani inatibu VDRL Kama sindano za cef zimeshindwa. Hakuna dawa nyingine
Benzathine Penicillin G ndo tiba ya syphillis na kama una allergi na penicllin chaguo jingine ni Doxycycline au erythromycine zinaweza kutumika kulingana na stage ya syphillis ulokuwepo.
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana..

Iv njegere na green beans hazina shida kwa MTU wa sukar?na dona.na ule Michele wa brown ni mzur?na nini tofaut zake na sembe au na Mchele wa kawaida?
 
Iv njegere na green beans hazina shida kwa MTU wa sukar?na dona.na ule Michele wa brown ni mzur?na nini tofaut zake na sembe au na Mchele wa kawaida?
Njegere na green beans havina shida kuliwa kwa mtu mwenye kisukari. Mchele mzuri ni wa brown na ni kwasababu haujakobolewa kwahio una fibers nyingi zaidi na nutrients nyingine muhimu zinazohitajika mwilini.

Fibers zinasaidia chakula kikae muda mrefu tumboni na kuchukua muda kuwa digested hatimae kusababisha sukari kuongezeka kwa kiwango(gradually).

Mchele ambao umetoka kuvunwa unakuwa na ganda gumu nje lisilolika, ukikobolewa unapatikana mchele wa brown ambao una fibers na nutrients tofauti na ukikobolewa zaidi ndo unapatikana mchele mweupe ambao ukila unapandisha kiwango cha sukari mwilini.

Sembe/dona na mchele mweupe sishauri vitumike sana kwasababu vina starch na protein nyingi zaidi.
 
Njegere na green beans havina shida kuliwa kwa mtu mwenye kisukari.Mchele mzuri ni wa brown na ni kwasababu haujakobolewa kwahio una fibers nyingi zaidi na nutrients nyingine muhimu zinazohitajika mwilini.Fibers zinasaidia chakula kikae muda mrefu tumboni na kuchukua muda kuwa digested hatimae kusababisha sukari kuongezeka kwa kiwango(gradually).Mchele ambao umetoka kuvunwa unakuwa na ganda gumu nje lisilolika,ukikobolewa unapatikana mchele wa brown ambao una fibers na nutrients tofauti na ukikobolewa zaidi ndo unapatikana mchele mweupe ambao ukila unapandisha kiwango cha sukari mwilini.Sembe/dona na mchele mweupe sishauri vitumike sana kwasababu vina starch na protein nyingi zaidi.

Asante sana ubarikiwe kama hutojali naomba uniambie na aina nyingine ya chakula ambao ni nzur kwake maana sukar ilikuwa juu sana 32 na vipi kuhusu maziwa?
 
Mkuu damu kuwa nzito mwilini nakusababisha kutotembea kwa wakati.nini dawa yake?ukiongezea na kunywa maji kwa wingi.
 
Mkuu damu kuwa nzito mwilini nakusababisha kutotembea kwa wakati.nini dawa yake?ukiongezea na kunywa maji kwa wingi.
Kukiwa kwenye matatizo kwenye clotting process kunasababisha damu kuwa nzito.

Clotting system ikiwa kawaida ukijikata, thrombin inakuwa released kwenye damu na kusababisha biochemical reaction inayosababisha clotting agents kuwa released.

Dhumuni la kuclot ni kutengeneza clot moja na hilo likikamilika clotting inazimika.Kwa baadhi ya watu hii clotting system inashindwa kujizima na ksuababisha mishipa ya damu kutawaliwa na fibrin layer Damu ikiwa nzito inasababisha oxygen,nutrients na hata hormones kushindwa kusambazwa mwilini ipasavyo.

Dawa zipo tofauti kulingana na tatizo na how serious lilivyo mfano kama una thromboembolism.

Mfano kama heparin, warfarin n.k
 
Kukiwa kwenye matatizo kwenye clotting process kunasababisha damu kuwa nzito.Clotting system ikiwa kawaida ukijikata,thrombin inakuwa released kwenye damu na kusababisha biochemical reaction inayosababisha clotting agents kuwa released.Dhumuni la kuclot ni kutengeneza clot moja na hilo likikamilika clotting inazimika.Kwa baadhi ya watu hii clotting system inashindwa kujizima na ksuababisha mishipa ya damu kutawaliwa na fibrin layer Damu ikiwa nzito inasababisha oxygen,nutrients na hata hormones kushindwa kusambazwa mwilini ipasavyo.Dawa zipo tofauti kulingana na tatizo na how serious lilivyo mfano kama una thromboembolism.Mfano kama heparin,warfarin n.k

Et maziwa .Nazi na Karanga mgonjwa wa sukari anaweza kutumia?
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana..

Mtaalamu naomba msaada wako sijui naumwa nini yaani kama wiki moja imepita nahisi vidole vyangu viwili cha kati na cha shahada karibu na kwenye kucha hivi vidole vinakufa ganzi.

sasa nachoomba mtaalamu unisaidie jina huu ugonjwa na tiba yake tafadhali.
 
Matibabu ya ugonjwa wa gono au gonorrea kwa mwanaume na mwanamke ni yapi?? je kuna dawa ambayo unaweza kuinunua duka lolote la madawa ukaitumia na tatizo kuisha???
 
Back
Top Bottom