Kiukweli nimeisoma,kuna mapungufu makubwa ambayo wakili wampendazoe hakuyarekebisha.Mfano documentszilizoambatanishwa kwem
nye madai hazikutolew kama ushahidi,baadhi ya sehemu zilizokuwa zinalalamikiwa hapakuwa na ushahidi wa.moja kwa moja bali mpendazoe alijitetea kwa kusema alisikia.Hayani makosa makubwa kisheria.Nadhani inabidi idara ya sheria ijipange kwenye hili,kesi ilikuwa nzuri,ila wakili wa Mpendazoe kaharibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.