Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Yupo huku mtaani kwetu Kwa Mla Bundi, namuona mara kwa mara
Unacheza na JK,yule msanii bana!Ataenda wapi yupo tu amesanda magambaa si yalimrubuni akakimbia magwanda yuko hoi tu naona katoa ka single kake kamebuma
Duh!Nimecheka kweli,bangi ya Olokokola ndo ya wapi mkuu?Kijit ya wapi hiyo?Ama ndo jina jipya la kijiti ya R?Anapuliza bange ya olikokola na kukazia na viroba chapa jogoo uwani kwao.
Olkokola ni kijiji cha wa masai mkoani arusha na zao lao la biashara ni bange coz maeneo hayo udongo wake ni wa volkano so bange yake ni kali balaa kwa mfano mtu kama wewe ukivuta bange iyo lazima ulale juu ya dari badala ya kulala kitandani.Duh!Nimecheka kweli,bangi ya Olokokola ndo ya wapi mkuu?Kijit ya wapi hiyo?Ama ndo jina jipya la kijiti ya R?
Olkokola ni kijiji cha wa masai mkoani arusha na zao lao la biashara ni bange coz maeneo hayo udongo wake ni wa volkano so bange yake ni kali balaa kwa mfano mtu kama wewe ukivuta bange iyo lazima ulale juu ya dari badala ya kulala kitandani.
umeneja wa nini? ama kuuza nyapu boogaloo na masaburi pub pale mianzini? memiss sana Arusha dah!
Wabongo sisi nouuma babu mpaka umeicopy application yake. Hapa ndio tofauti ya sisi waafrika inapojionyesha.
Huyu msanii anaonekana sana Mlimani city na vinguo vyake vifupi mida lunch time.
Last time alikaririwa akisema ameamua kuachana na siasa kuwa imempotezea muda wake.....kwangu this was a stupid excuse kwasababu mtu halazimishwi kuingia katika siasa sasa inakupotezea vipi muda. huyu ni katika ya vijana ambao wanasukumwa na njaa zao kufanya maamuzi. Anayekupa chakula ndio anakuamulia cha kufanya
yuko a town.
huwezi kutenganisha njaa na tamaa,kwa hiyo vyote anavyo...Sijui ni njaa au tamaa kilichompeleka magamba?
huwezi kutenganisha njaa na tamaa,kwa hiyo vyote anavyo...
ukitaka kuhit kwenye hiphop go against the system not side with them,..much less this corrupt system.
sijui nani alimroga huyu mrembo?