Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Nakaaya aliruka mkojo akakanyaga kinyesi.Walimtumia sana Ccm Riz1,Freddy Luwasa wamemtumia sana Nakaaya hana jipya leo angekuwa Mbunge Chadema tulidhani ni Mzalendo kumbe fisadi wa kike.
wala asingekuwa mbunge aliondoka huko baada ya kuona rongoro ktk uteuzi wa wabunge viti maalum kwani yeye hakuteuliwa hivyo ndivyo alisepa