kajambishwa ye kaharisha
Pole ni kama hivyohivyo, kuwa amekikimbia chama chenye Neema na kwenda kwenye chama la MAJAMBAZI!PakaJimmy hebu nipe info. Huyu Nakaya Sumary alikuwa Chadema, kuna kipindi nilisikia katimkia CCM. Sasa pole ya nini?
Mkuu PJ
unajua kitu kinachowashobokeza mabinti wasiofundwa vyema ni MPINI.
sasa ameona matokeo yanavyompelekesha puta buzi lake.
USALITI ni jambo baya sana
Ndiyo matatizo ya kuwa malaya wa kisiasa. eace:eace:eace: