Najuuta kusoma jamani...

Wanajf wenzangu mie nashindwa elewa hv nn dhumuni la kupata elimu..mimi ni mmoja kati ya wahitimu maelfu waliomaliza vyuo mbalimbali tz,lakini kitu kinachoshangaza asilimia karibu 90 ya wahitimu wa vyuo hawana ajira ,je utumishi wa umma ambao wanadhamana ya kutangaza nafasi za ajira wanajua hlo au wanasubiri hadi vijibabu na vijibibi vilivyopo makazini vife(siombei) ndo tupate ajira ama?tusaidiane wapendwa ili kdunchu tupate afueni mana hadi muda huu tunajutia elimu zetu jameni,lol...
una muda gani toka umeanza kutafuta kazi? vumilia tu na usichague kazi mpk hapo utakapopata kazi of your dream ila nakushauri ufanye shughuli binafsi kipindi hiki unatafuta ajira kama ukiona zinaenda vizuri komaa nazo

Hiyo title ya najuta kusoma na ya kipuuzi sana (hata kama ukikasirika shauri yako) dunia nzima inasisitiza watu wasome na maendeleo ya nchi upimwa kwa idadi ya wasomi pia leo unasema unajuta kusoma, siku ukipata kazi utasemaje unashukuru kusoma? toa hiyo dhana ya najuta kusoma maana ukikaa nayo kichwani unaweza hata usije kusomesha watoto wako kwa ajili tu ya mapito yaliyokukumba. Mie naona wewe umesoma ila hukuelimika ndio maana unajuta hovyo hovyo, siku hizi kuna shule kibao za private wanatafuta graduate wakafundishe je umejaribu kwenda kuomba? au unasubiri uwe officer tu bila kupitia shulba zozote? kwa taarifa yako hata Nyerere alianzia kuwa Mwalimu na Kikwete alianzia kuwa mjeshi na hao wote ni walikuwa marais mwisho wa siku.
 
Wadau habari...nimeipitia thread niliyoandikaga miaka 9 iliyopita (27 Feb 2011)..aisee sijui ulikuwa ni utoto...sijui ilikuwa ni kukata tamaa.. baada ya miaka 09 haya ndio Mafanikio...
1.Nilirudi shule UDSM kuongeza elimu MASTERs,
2.Nimejifunza kupambana na kila aina ya ujasiliamali huku degree zote mbili nikiziweka kando...labda nikwambie nilikodi frem nikafungua wakala, nikauzaga sandels za kimasai, nikahamia katika visendoz vya kichina, nikarudi katika duka la rejareja etc...
3.Ninaishi kwangu mimi pamoja na familia yangu...
4.Baada ya miaka 06 nillifanikiwa kupata kazi ambayo nipo hadi sasa...
5.Naendelea na ujasiliamali huku nikipambana na ajira .
NILICHOJIFUNZA

Mama alikuwa ananiambiaga siku zote MUNGU HUJIBU KWA WAKATI as long as una vyeti usiwe na Hofu, Nami nawatia moyo wote wanaotafuta AJIRA kuwa MUNGU HUJIBU KWA WAKATI.
 
Wadau habari...nimeipitia thread niliyoandikaga miaka 9 iliyopita (27 Feb 2011)..aisee sijui ulikuwa ni utoto...sijui ilikuwa ni kukata tamaa.. baada ya miaka 09 haya ndio Mafanikio...
1.Nilirudi shule UDSM kuongeza elimu MASTERs,
2.Nimejifunza kupambana na kila aina ya ujasiliamali huku degree zote mbili nikiziweka kando...labda nikwambie nilikodi frem nikafungua wakala, nikauzaga sandels za kimasai, nikahamia katika visendoz vya kichina, nikarudi katika duka la rejareja etc...
3.Ninaishi kwangu mimi pamoja na familia yangu...
4.Baada ya miaka 06 nillifanikiwa kupata kazi ambayo nipo hadi sasa...
5.Naendelea na ujasiliamali huku nikipambana na ajira .
NILICHOJIFUNZA

Mama alikuwa ananiambiaga siku zote MUNGU HUJIBU KWA WAKATI as long as una vyeti usiwe na Hofu, Nami nawatia moyo wote wanaotafuta AJIRA kuwa MUNGU HUJIBU KWA WAKATI.
insipring

Ila ungekuwa umegraduate miaka ya magu ungelia zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibongobongo, walio 'bukua' sana hawanaga hela. Usiniulize kwanini... just go figure yoself.

-Kaveli-
 
Unajua usijibu tu kirahis kuwa jamaa ni mpumbavu inaumiza sana kusoma halafu ukakaa miaka kibao bila ajira kumbuka sio kila mtu ana mtaji au ana kipaji cha biashara na hata hivyo vibarua siku hiz imekuwa ngumu kupatikana imagine hata watu wenye nyazifa huko serkalin wanalinda kwa nguvu zote kaz zao hakuna aliye tiyar kujiajir ili hali mitaj wanayo hili ni tatizo kubwa ambalo haliongelewi serkal ni lazima ije na suluhu ya hili jambo maana vyuo vinatapka wasomi mtaan na hawakuandaliwa kujiajiri!
una muda gani toka umeanza kutafuta kazi? vumilia tu na usichague kazi mpk hapo utakapopata kazi of your dream ila nakushauri ufanye shughuli binafsi kipindi hiki unatafuta ajira kama ukiona zinaenda vizuri komaa nazo

Hiyo title ya najuta kusoma na ya kipuuzi sana (hata kama ukikasirika shauri yako) dunia nzima inasisitiza watu wasome na maendeleo ya nchi upimwa kwa idadi ya wasomi pia leo unasema unajuta kusoma, siku ukipata kazi utasemaje unashukuru kusoma? toa hiyo dhana ya najuta kusoma maana ukikaa nayo kichwani unaweza hata usije kusomesha watoto wako kwa ajili tu ya mapito yaliyokukumba. Mie naona wewe umesoma ila hukuelimika ndio maana unajuta hovyo hovyo, siku hizi kuna shule kibao za private wanatafuta graduate wakafundishe je umejaribu kwenda kuomba? au unasubiri uwe officer tu bila kupitia shulba zozote? kwa taarifa yako hata Nyerere alianzia kuwa Mwalimu na Kikwete alianzia kuwa mjeshi na hao wote ni walikuwa marais mwisho wa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua usijibu tu kirahis kuwa jamaa ni mpumbavu inaumiza sana kusoma halafu ukakaa miaka kibao bila ajira kumbuka sio kila mtu ana mtaji au ana kipaji cha biashara na hata hivyo vibarua siku hiz imekuwa ngumu kupatikana imagine hata watu wenye nyazifa huko serkalin wanalinda kwa nguvu zote kaz zao hakuna aliye tiyar kujiajir ili hali mitaj wanayo hili ni tatizo kubwa ambalo haliongelewi serkal ni lazima ije na suluhu ya hili jambo maana vyuo vinatapka wasomi mtaan na hawakuandaliwa kujiajiri!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani moja ya post zilizomsaidia mtoa mada kama aliisoma basi ni hiyo uliyo quote...Yes,sometimes kuwa rude kwa mtu inasaidia sana.
 
Duuh kweli maisha noma kumbe toka 2011 watu wanalia na ajira hakuna kipindi cha jakaya maisha mteremko biashara zinaenda ole wako ungekuwa umemaliza kipindi hiki kazi hakuna na mazingira ya biashara ni mabovu haki ya Mungu unagejiua


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajf wenzangu mie nashindwa elewa hv nn dhumuni la kupata elimu..mimi ni mmoja kati ya wahitimu maelfu waliomaliza vyuo mbalimbali tz,lakini kitu kinachoshangaza asilimia karibu 90 ya wahitimu wa vyuo hawana ajira ,je utumishi wa umma ambao wanadhamana ya kutangaza nafasi za ajira wanajua hlo au wanasubiri hadi vijibabu na vijibibi vilivyopo makazini vife(siombei) ndo tupate ajira ama?tusaidiane wapendwa ili kdunchu tupate afueni mana hadi muda huu tunajutia elimu zetu jameni,lol...
Mkuu, utumishi hawawezi kuajiri wasomi wote. Serikali ilipaswa kuandaa mazingira mazuri ya kiuchumi na kielimu ili mhitimu akitoka chuo elimu aliyoipata iweze kumsaidia; na mtaani akute mazingira rafiki ya kujiendeleza hata kama akitaka kujiajiri. Vyote hivyo havijafanyika na matokeo yake ndiyo haya.

Elimu lengo lake la msingi siyo kukupatia wewe ajira bali ni kukufanya uyaelewe vizuri mazingira yako na kushabihiana nayo vyema. Ndiyo maana popote utakapoenda tunakutegemea uwe tofauti na wale ambao hawajasoma. Kuidogosha elimu na kuigeuza kuwa nyenzo ya ajira na utajiri peke yake ni dalili za wazi kuashiria kuwa elimu uliyoipata si elimu sahihi na haijakusaidia kwa lolote. Umepoteza muda wako bure tu...Umesomea nini?
 
Paragraph ya mwisho nimeipenda


kama ni kusoma watu waendelee kusoma. Employment is another case. Angalia things in life in a big picture or perspective.na usijilinganishe na wengine. Sote tumepitia huko na hatukukata tamaa na leo hii tuna ajira. Hiyo hali ilikuwepo na itaendelea kuwepo kila mahala dunia hii.
Mfano: Kuna unemployment kubwa hapa US kwa sasa na still watu wanaenda shule na hundreds of thousands wanaendelea kugraduate kila semester. I'm sure ukisha-graduate after sometime utaweza kufit somewhere. When or where? I don't know!! Ikibidi kuwa agressive na angalia opportunities beyond Tanzania, hiyo ndio sababu hata wakenya wanaendelea kufurika bongo kila kukicha.
My take: Ni bora uwe na elimu/skills then ikitokea opportunity ukai-seize, kuliko uwe kichwani sifuri na ukazidi kuwa juha na hata opportunity ikitokea hutaweza kuichangamkia sababu huna skills/qualifications.
 
Kwa maisha ya sasa ni vizuri kujituma haswa
Leo tunashukuru Kuna mitandao na ubunifu umejaa
Watu wanaweka ubunifu kwenye mitandao bila hiyana
Usiseme elimu yako haikusaidii bali jaribu kuangalia fursa zilizopo kwenye mitandao Mkuu
Kama umesoma una uelewa zaidi ya asiesoma kwa hiyo itumie elimu yako kwa mengine
Hata huyu engineer alibuni huu mjengo akiwa anakata nyanya jikoni
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wanajf wenzangu mie nashindwa elewa hv nn dhumuni la kupata elimu..mimi ni mmoja kati ya wahitimu maelfu waliomaliza vyuo mbalimbali tz,lakini kitu kinachoshangaza asilimia karibu 90 ya wahitimu wa vyuo hawana ajira ,je utumishi wa umma ambao wanadhamana ya kutangaza nafasi za ajira wanajua hlo au wanasubiri hadi vijibabu na vijibibi vilivyopo makazini vife(siombei) ndo tupate ajira ama?tusaidiane wapendwa ili kdunchu tupate afueni mana hadi muda huu tunajutia elimu zetu jameni,lol...

Na hii corona ndio mtasugua sana manyumbani. Wengine waliohitimu wanatamani walau wapate kuchunga mifugo.
 
Na hii corona ndio mtasugua sana manyumbani. Wengine waliohitimu wanatamani walau wapate kuchunga mifugo.
Mkuu Otterhound hii thread niliandika 2011 kipindi nastruggle na bahasha za khaki, kipindi ambacho nalaumu kila kitu...kipindi nilipokuwa sioni mbele...leo ni 2020 mambo yamebadilika kabisa.. nawatakia moyo wote kuwa MUNGU HUJIBU KWA WAKATI, Leo naitwa BOSS, leo ni mume, leo ni baba after 06 good years ya kuwa mtaani. Am humbled.
 
Mkuu Otterhound hii thread niliandika 2011 kipindi nastruggle na bahasha za khaki, kipindi ambacho nalaumu kila kitu...kipindi nilipokuwa sioni mbele...leo ni 2020 mambo yamebadilika kabisa.. nawatakia moyo wote kuwa MUNGU HUJIBU KWA WAKATI, Leo naitwa BOSS, leo ni mume, leo ni baba after 06 good years ya kuwa mtaani. Am humbled.


Kumbe ni kitambo kiongozi! Pole sana ndugu. Kama umefanikisha ni furaha kwangu, na Mungu azidi kukuongoza na akupe mafanikio zaidi 🙂
 
Lazima ujute,kwani umeenda shule na hujaelimika...

Shame on you ..kwanza unaandika hovyo,na unalia kuajiliwa,kazi haiji mikononi kama unavyodhani.
Na inawezekana hata GPA uliyonayo nayo ni 1.9.

Kaka badirika,elimika na usiwe kama mtu aliyepita shule na kiwaona baadhi ya Wanazuoni wengine.
 
Kumbe ni kitambo kiongozi! Pole sana ndugu. Kama umefanikisha ni furaha kwangu, na Mungu azidi kukuongoza na akupe mafanikio zaidi 🙂
Yes Chief Otterhound nilimaliza chuo 2010 UDSM na hakika kama ningekuwa na moyo mwepesi ningekuwa naitwa MAREHEMU... Imagine uliosoma nao nao unakutana nao wanakazi, maisha fresh halafu wewe zero...utahimilije unafikiri? All in all kuna mwamba mmoja tulikuwa nae kitaa na tulikuwa tunatiana moyo sana...Mungu mkubwa nae ametoboa mbayaa...Kikubwa ni uvumilivu na kusubiri Mungu ajibu kwa wakati... Popote ulipo Mkalibari umepambana chief.
 
Lazima ujute,kwani umeenda shule na hujaelimika...

Shame on you ..kwanza unaandika hovyo,na unalia kuajiliwa,kazi haiji mikononi kama unavyodhani.
Na inawezekana hata GPA uliyonayo nayo ni 1.9.

Kaka badirika,elimika na usiwe kama mtu aliyepita shule na kiwaona baadhi ya Wanazuoni wengine.
Anti-Hacker umesoma thread toka mwanzo au umekurupuka?Fyi hii ilikuwa 2011 niliandika hivi nadhani ulikuwa shule ya Msingi,
 
Mkuu Otterhound hii thread niliandika 2011 kipindi nastruggle na bahasha za khaki, kipindi ambacho nalaumu kila kitu...kipindi nilipokuwa sioni mbele...leo ni 2020 mambo yamebadilika kabisa.. nawatakia moyo wote kuwa MUNGU HUJIBU KWA WAKATI, Leo naitwa BOSS, leo ni mume, leo ni baba after 06 good years ya kuwa mtaani. Am humbled.
Mkuu ilikuwaje kuwaje ukachomoka? Hongera mweeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya Tunisia yatakuja bongo watawala wasipokuwa makini.Tunisia ina watu milion kama 10 lakini inatoa wasomi kama 40,000 kila mwaka. Hili la wasaomi kuokas ajira ni tatizo na bomu kubwa ambalo watawala wanatakiwa walifanyie kazi haraka sana kama vile wanavyotaka kulipa tuzo ya do wa nsi. Tunisia waliambiwa siku nyingi na IMF kwamba hawa wasaomo jobless watakuja kuwaletea matattizo makubwa lakini wakulu didn't care.Sasa hivi tumeona kilichotokea na kinasambaa hadi nchi nyingine.
Hii kusema wajiari haina mashiko hata chembe kwa maana wengi ambao wamejiari kwa sasa waliajiriwa somewhere kabla. Hivi unapomwambia fresh graduate ajiajiri ataanzia wapi jamani?
Kwenu mlioko madarakani, 2015 itakuwa songombingo maana graduate wengi hawana kazi (hata waalimu wanakosa kazi ingwa shule kibao hazina waaalimu) na hizo failure za form four (50 % ni 0) sijui kama mtapita salama.Take care
mwaka wa tano hamna ajira za waalimu, halafu kuna watu wanakuambia ukajitolee kufundisha
 
Back
Top Bottom