Sijaelewa kwanini watu hawapendi mapatano.
Sugu alikuwa hapatani na ruge kwa sababu flani zilizo wazi kwa wote,sasa kama pande zote wameafikiana kulimaliza hilo, tatizo liko wapi? Chaaa,
Niukweli usio fichika kuwa wana wa mbeya tulimchagua Sugu kuwa Mbunge wetu sio kwa kutokana na Elimu yake au umaarufu wake bali km mtu aliye onekana jasiri na mpigania haki za wanambeya na Wasanii kwa ujumra lakini leo ametusariti na ametutukana na kutuona hatuna maana mpaka akamua kuingia mikataba ya kizushi na mafisadi wa huu mziki.....
Sugu alikili kuwa deal la malaria ameibiwa leo hii anasaini mkataba na wezi kisheria huo mkataba ni nuel and void, abi initial! lakini yeye amejifanya hajui.......Amesahau tulivyo nyeshewa na Mvua pale sokoine kusuhbili show yake aliyo tuahidi itabigwa saa nane mchana lakini ilipigwa 4 usiku wala hatukujari kuroana! leo hii amesahau hili, na kutuacha njia panda.......
Sugu Sugu Sugu Mbunge wangu toka Soko Matola nakwambia 2015 sio mbali mitaaa ya mbea itatoa hukumu dhidi yako coz mitaa Imenuna..je baada ya hapo Ruge atakueshimu tena au ndo utakuwa lile taulo la akina dada likisha tumika?? Soma alama za Nyakati Sugu. Wako mpika kura Dconscious.
ndo ugreat thinker?pumbafu wewe
hv inakuwaje? ilitakiwa wafe bila kupatana au? acheni kushabikia uadui! mungu hapendi hivyo!
kwahiyo afanyavyo luge juu ya wasanii mungu ndiyo anapenda??
Sugu ni zaidi ya yuda imeonyesha nikias gan aliendeleza mapambano kinafki zaidi