Mimi nimemchoka kwa uongo na kutowajibisha na kuwajibika kama mkuu wa nchi. wewe umejuuta kwa lipi?Jamani wana JF, ni wangapi tuko pamoja ktk hilo??
CCM inaamini kuwa sisi ni wajinga na tunaburuzikamimi najuta kumfahamu kwa sababu sijajua nia yake bado ya kuhutubia baada ya uchaguzi tena usiku wa kuhesabu kura.....hainiingii hii
i doubt he will do that kwani atakua ameangukamimi najuta kumfahamu kwa sababu sijajua nia yake bado ya kuhutubia baada ya uchaguzi tena usiku wa kuhesabu kura.....hainiingii hii
Ana mpango wa kutangaza kuwa kashindwa kura maana ameshashindwa hata kabla hajapigiwa kura.mimi najuta kumfahamu kwa sababu sijajua nia yake bado ya kuhutubia baada ya uchaguzi tena usiku wa kuhesabu kura.....hainiingii hii
Im so sorry to tell u that, u hate jk, lakini ataendelea kuwa rais wakao kwa kipindi kijachoJamani wana JF, ni wangapi tuko pamoja ktk hilo??