Najuta kutotembea na mke wa rafiki yangu

Ni ujinga wako umecheka na nyani sasa ndio yamekukuta mtu bonabo kaingia kichwa kichwa piga mzigo
 
Usijute banaa!!!
Hata ungemwambia mkeo ananitaka asingekuamini, ungebadilishiwa kuwa wewe ndiyo unaemtaka.
Siku nyingine, actions zako, heshima yako, jinsi unavyoongea na kumheshimu mke wa rafiki yako kunazuia baadhi ya fikra chafu.
Jiheshimu tu.
 
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.

Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...

Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.

kiritimba
30.11.2011
Bado nafasi unayo, mtafute umtake radhi.
 
Ucjilaumu wangu tendo ulilofanya ni lakishujaa wangu uwezi jua mungu kakuepusha na nn wangu
 
usijite bwana endelea na maisha yako
uwez jua mungu amekuepushia nn?
ol in ol take care GOD loves you.
 
nahofia hiyo coy yenu itaishia pabaya! jitahidini saana kuepuka kuzungukiana kwa mashemeji zenu, mbona kuna wengi tu mitaani yanini mpotezeane heshima kiasi hicho.
 
Umesoma vizuri mkuu post yangu

Kaka Kiritimba, huyo bwana kasoma vizuri post yako, hata mie pia; issue ni kwamba kwanini ujutie kitu ambacho haujafanya. Kipi bora, kumshedede mke wa rafiki yako na urafiki wa kinafiki uendelee kati yenu au kuchukua maamuzi magumu na urafiki ufe?
 
Nahisi rafiki yako hatoi dozi ya ukweli kwa mke wake ndio maana binti anahaha. Mpe somo mshikaji wako ikibidi mtafutie darasa akajifunze maujuzi
 
Nahisi rafiki yako hatoi dozi ya ukweli kwa mke wake ndio maana binti anahaha. Mpe somo mshikaji wako ikibidi mtafutie darasa akajifunze maujuzi

Huoni kuwa ndio nitasababisha matatizo yawe makubwa zaidi?
 
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.

Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...

Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa kukuepusha na mambo machafu wewe unajuta! Ama kweli akili ni nywele.....!
 
Back
Top Bottom