maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Ni ujinga wako umecheka na nyani sasa ndio yamekukuta mtu bonabo kaingia kichwa kichwa piga mzigo
Bado nafasi unayo, mtafute umtake radhi.Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.
Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...
Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.
kiritimba
30.11.2011
Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.
kiritimba
30.11.2011
Najuta kwa nini simfahamua mkeo!
Umesoma vizuri mkuu post yangu
You will never know with women.....
Duniani kuna visa na mikasa
Nahisi rafiki yako hatoi dozi ya ukweli kwa mke wake ndio maana binti anahaha. Mpe somo mshikaji wako ikibidi mtafutie darasa akajifunze maujuzi
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.
Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...
Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.
Badala ya kumshukuru Mungu kwa kukuepusha na mambo machafu wewe unajuta! Ama kweli akili ni nywele.....!