Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
Nimefika kuripoti hapa Tanga Jiji kulingana na post yangu ya ualimu inavyonielekeza, lakini mpaka muda huu hakuna anayetujali iwe Afisa Elimu wala Mkurugenzi, wao jibu ni moja tu hakuna pesa,wadau mi nimetoka Bunda kitu ambacho naona sio fear ukilinganisha na ahadi za serikali hii kwa kumtumia K majaliwa, naombeni maelekezo ili wahusika wapate/wasikie kdg kilio chetu