- Thread starter
- #81
Lizzy na dena, mi si9hami bana tutabanana hapahapa, mpaka kieleweke. Nimeamua sasa. Kesho asubuhi naenda kumgongea mrango ntajifanya naomba kibiriti, huku nimevaa taulo tu, kifua wazi ajionee kilichopo kifuani. Keshokutwa ntamgongea usiku saa 6, ntajifanya nimeishiwa chumvi anisaidie nione? Au mnasemaje?