Najuta kufundisha lugha ya Kiingereza

Tafuta project za loitasa by prof Qorro udsm current serves as head of LL dpt,prof Bretn olso university na Dr. VUZO UDSM wanamajibu ya maswali yako mengi mwalmu
 
Tafuta project za loitasa by prof Qorro udsm current serves as head of LL dpt,prof Bretn olso university na Dr. VUZO UDSM wanamajibu ya maswali yako mengi mwalmu
kaka unayokwenye soft copy nipo nje ya DSM, au inapatikana kwenye library zote nchini?
 
Lugha ya malkia ni janga kwa wahitimu wote wa zama hizi za elimu biashara si walimu peke yao, tofauti na enzi zileee watu wanaingia kwa matriculation vyuoni. Juzi nilikuwa natupia dissertation ya rafiki yangu ya shahada ya uzamili, nilitaka kuzimia. Lakini ana shahada ya uzamivu sasa tena kwa ufaulu wa juu tu.
tunaondokaje kwenye huu mkwamo, leta mapendekezo Mkuu.
 
kaka unayokwenye soft copy nipo nje ya DSM, au inapatikana kwenye library zote nchini?
Aisee sijui kama hizo project zipo ktk soft copy lakini ktk net kuna papers and articles ambazo nyingi ni za Dr. VUZO naona unaweza kudownpod lakini hivyo vitb sina uhakika ebu chek
 
Lugha ya malkia ni janga kwa wahitimu wote wa zama hizi za elimu biashara si walimu peke yao, tofauti na enzi zileee watu wanaingia kwa matriculation vyuoni. Juzi nilikuwa natupia dissertation ya rafiki yangu ya shahada ya uzamili, nilitaka kuzimia. Lakini ana shahada ya uzamivu sasa tena kwa ufaulu wa juu tu.
tunaondokaje kwenye huu mkwamo, leta mapendekezo Mkuu.
Sasa mkuu ikiwa wewe ni kama mkuu wa idara ya kiingereza hapo shuleni - umechukua hatua gani za kurekebisha hili ? mfano waalimi wote hao umehakikisha wana shahada ya uwaalimu wa kiingereza kuwa lazima awe nayo ? la mwisho ni wewe kuandika report rasmi kwa mkuu wa shule kueleza maoni yako.
huwezi kuja na mpango ukafanikiwa labda uwe mtunga Sera na labda walimu wale ugeuke kuwa mentor wao,na uwe na nguvu ya kumuwajibisha ,vinginevyo sjui. Mkuu mwenyewe hajawahi ongea hata parade.
 
kiswahili kipewe nafsi kwanza........lugha zingine baadae
nasikia na kichina kinafundfishwa tz,.vipi china kiswahili kimefika, ...au ndo jalala wageni,.kila vitu vyao twapokea,....
wanauwa culture
 
I usually doubt about the way our universities gives qualification to those who leaves their collage .Am sure for this fact we won't be competent in our East Africa community! Poor TZ Universities !!!
Poor grammar.
"...universities gives..."
"...those who leaves..."
 
If you are a teacher, you're supposed to be competent in the subject you are teaching.

You have demonstrated here your inability to construct a simple English sentence correctly.

The students in your school have been short-changed by your incompetence.

I'm flabbergasted that you're Head of English department.

Acha kukatisha tamaa wenzio,wewe unaye jua sana umesaidia nini jamii na taifa letu km huyo Mwalimu aliyekosea.
 
from few I know flexibility means to change according to the need of the current situation and circumstances and be creative involves manipulation of tactics,techniques and methodologies ,the use of teaching aids, to be more psychological etc to your learners. Anyway , let you train me ,what you could do these teachers?

Umeandika ila umombo pia kwa
What character are you refering to? Can you just call yourself stupid among others. A mere Tanzanian can not pretend better than he is simply arrogant, and i thnk you must be among of..with your silly mind you can call a teacher? I am really fucked with your little psychy

Punguza jazba wewe!!matusi mengi ya nini?
 
Acha kukatisha tamaa wenzio,wewe unaye jua sana umesaidia nini jamii na taifa letu km huyo Mwalimu aliyekosea.

Nimekatisha tamaa wapi?

Hivi unaelewa niliandika nini?

Mimi kusaidia taifa inahusika vipi na mwalimu wa Kiingereza asiyejua kuandika Kiingereza?

Watanzania lazima mzoee kukosolewa. Mkitoka nje ya mipaka ya nchi ndio mtafahamu umuhimu huo.
 
Huu uzi unaonyesha sehemu tu ya tatizo la elimu yetu. Siamini kufundisha masomo kwa lugha yoyote ile kutamfanya mtu awe mahiri katika lugha hiyo ikiwa ufundishaji hauzingatii kanuni. Kwa mfano, hata nchi nyingi za Ulaya kama Italia, Ufini, Ujerumani, nk. hufundisha elimu ya msingi kwa lugha zao na Kiingereza hufundishwa kama somo. Lakini tunashuhudia wengi ni mahiri katika lugha ya kiingereza.

Bahati nzuri au mbaya kiingereza ni muhimu na inatubidi tujifunze, hasa katika dunia ya sasa. Kwa sasa ninakushauri machache yafuatayo:
1. Lugha yoyote inabidi ujifunze kwa kusikiliza, kuongea, kusoma na kuandika. Himiza njia hizi zote
2. Jitahidi kuleta hamasa ya wao kujifunza na kulipenda somo. Kwa mfano, nyimbo ni namna nzuri ya kujifunza. unaweza ukatafuta nyimbo ukawaambie wazisikilize, waandike mashairi yake, wayasome na wayaimbe. Hapo umetumia njia zote nne na pia hutatumia nguvu nyingi.
3. Himiza usomaji na usimulizi wa vitabu. Unaweza ukaandaa michezo ya usomaji, usimulizi, utunzi, nk.
4. Wape majaribio ya matamshi, uandishi wa maneno, insha, nk. mara kwa mara.
5. Usichoke kuwahimiza waongee kiingereza, wapongeze hata wanapojaribu na kukosea; wakikosea kwenye kuongea au kuandika uwasahihishe kwa kuwapa mifano zaidi na wao watoe ya kwao pia.

Ualimu ni kazi ngumu ndugu yangu, na fahari yake kuu ni kushuhudia wanafunzi wako wakibadilika, wakifanikiwa zaidi na zaidi. Kila la kheri na usikate tamaa.
 
Huu uzi unaonyesha sehemu tu ya tatizo la elimu yetu. Siamini kufundisha masomo kwa lugha yoyote ile kutamfanya mtu awe mahiri katika lugha hiyo ikiwa ufundishaji hauzingatii kanuni. Kwa mfano, hata nchi nyingi za Ulaya kama Italia, Ufini, Ujerumani, nk. hufundisha elimu ya msingi kwa lugha zao na Kiingereza hufundishwa kama somo. Lakini tunashuhudia wengi ni mahiri katika lugha ya kiingereza.

Bahati nzuri au mbaya kiingereza ni muhimu na inatubidi tujifunze, hasa katika dunia ya sasa. Kwa sasa ninakushauri machache yafuatayo:
1. Lugha yoyote inabidi ujifunze kwa kusikiliza, kuongea, kusoma na kuandika. Himiza njia hizi zote
2. Jitahidi kuleta hamasa ya wao kujifunza na kulipenda somo. Kwa mfano, nyimbo ni namna nzuri ya kujifunza. unaweza ukatafuta nyimbo ukawaambie wazisikilize, waandike mashairi yake, wayasome na wayaimbe. Hapo umetumia njia zote nne na pia hutatumia nguvu nyingi.
3. Himiza usomaji na usimulizi wa vitabu. Unaweza ukaandaa michezo ya usomaji, usimulizi, utunzi, nk.
4. Wape majaribio ya matamshi, uandishi wa maneno, insha, nk. mara kwa mara.
5. Usichoke kuwahimiza waongee kiingereza, wapongeze hata wanapojaribu na kukosea; wakikosea kwenye kuongea au kuandika uwasahihishe kwa kuwapa mifano zaidi na wao watoe ya kwao pia.

Ualimu ni kazi ngumu ndugu yangu, na fahari yake kuu ni kushuhudia wanafunzi wako wakibadilika, wakifanikiwa zaidi na zaidi. Kila la kheri na usikate tamaa.
wewe ni mwalimu mkongwe kwelikweli ama sivyo wewe ni mjuvi wa mambo haswaa...ulichokisema ndicho kilichopo ktk syllabus (nimekosa kisw chake)...kwani kuna mada kama vile speaking...listening....reading and writing....

tatizo ni kwamba walimu hawakufunzwa namna ya kufundisha mada hizi....tukumbuke syllabus ilibadilishwa kutoka content based to competence based...lakini walimu hawakufundishwa jinsi ya kufundisha hiyo competence based syllabus...

tatizo lingine walimu wa kingeleza wenge sio wote hawajakamilika....tukumbuke kuna isimu na fasihi (literature) ....walimu wengi hawasomi literature vyuoni ila wakipelekwa mashuleni wanaambiwa english ni english hivyo anafundisha vitu asivyovijua

ushauri...walimu wafundishwe mbinu za ufundishaji wa syllabus mpya
walimu ambao hawakusoma literature vyuoni wasiruhusiwe kufundisha literature
walimu wawe na utamaduni wa kujisomea vitabu mbalimbali vya kingereza....vitabu vya fasihi ni vizuri sana....someni vitabu vya chinua achebe ...ngugi wa thiong ..soinka...nk ni vizuri sana
 
Back
Top Bottom