Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Mkuu pepsi tu inatoshaUnatumia soda gani ndugu yangu. Agiza nitalipa. Umenikuna sana.
Mkuu pepsi tu inatoshaUnatumia soda gani ndugu yangu. Agiza nitalipa. Umenikuna sana.
That explains a lotHaya kuna mtu namtega!!!Happy???
Hayo yakutembea bila nguo umeyasema wewe....!!Saikolojia ya mwanaume kuhusu ngono ikoje??Maana nnavyojua mimi kwa muda mfupi niliotumia kusoma saikolojia binadamu sio computer useme akishakua programmed ndio basi hawezi kufanya kilichopo nje ya program!!!Kutamani hamnyimwi ila sio lazima kila unaemtamani utembee nae...jifunzeni self -controll!!Hivi wewe unaijua saikolojia ya mwanaume linapokuja suala la ngono au unaongea ongea tu?? Kwa hiyo unataka kusema ni bora mtembee uchi kabisa manake si mnavuliwa nguo kwa macho????????????!!!!!!!!!
Sio lazima useme, hoja zako ndivyo zinavyoonesha. Halafu unataka kuniambia hiyo saikolojia uliyosoma ndiyo inayosema kuwa kila mtu anaweza kujifunza self-control na kui-master. Kwa maneno kwa nini muwape adhabu isiyo ya lazima wale wasio na self control???!!!!!!!!!!!!Hayo yakutembea bila nguo umeyasema wewe....!!Saikolojia ya mwanaume kuhusu ngono ikoje??Maana nnavyojua mimi kwa muda mfupi niliotumia kusoma saikolojia binadamu sio computer useme akishakua programmed ndio basi hawezi kufanya kilichopo nje ya program!!!Kutamani hamnyimwi ila sio lazima kila unaemtamani utembee nae...jifunzeni self -controll!!
Kisichosemwa ni sawa na hakipo...usipende kumlazimishia mtu kile unachodhani/taka!!Nwy ndio uwezo kila mtu anao ishu ni kama anataka au la!!!Ndio maana wapo watu wanajiendekeza kwenye mambo mengi tu ila wakipata watu wakuwaelekeza ipasavyo na wenyewe wakawa na uhitaji wa kubadilika wanabadilika!!!Yote ni maamuzi!!Sio lazima useme, hoja zako ndivyo zinavyoonesha. Halafu unataka kuniambia hiyo saikolojia uliyosoma ndiyo inayosema kuwa kila mtu anaweza kujifunza self-control na kui-master. Kwa maneno kwa nini muwape adhabu isiyo ya lazima wale wasio na self control???!!!!!!!!!!!!
Sio lazima useme, hoja zako ndivyo zinavyoonesha. Halafu unataka kuniambia hiyo saikolojia uliyosoma ndiyo inayosema kuwa kila mtu anaweza kujifunza self-control na kui-master. Kwa maneno kwa nini muwape adhabu isiyo ya lazima wale wasio na self control???!!!!!!!!!!!!
Mkuu kwa namna ulivyoiweka ni kama vile waislamu walikaa kikao fulani na kufikia uamuzi huo lakini sivyo. Kwa mujibu wa uislamu ni mapokeo ya moja kwa moja kutoka kwa M'mungu. Nway ishu hapa ni kuwa haya mavazi ni kimeo sio kdogo.Ndiyo tatizo la watu wanaohamisha theory za vitabuni bila kuzifanyia uchambuzi wa kina. Siwapendi kweli watu wa namna hiyo. Mwanzoni nilikuwa nawalaumu sana wenzetu waislamu kwa kuweka sheria kali za mavazi lakini sasa kwa hali ilivyo mitaani nimeanza kushawishika kwa nini walifikia uamuzi huo.
Wakuu,
Kama kichwa cha thread kinavyosomeka, ni ukweli usiopingika kuwa mavazi ya wanawake yanachangia sana vitendo vya ngono. Sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kuona akina dada mijini wakiwa na mavazi yanayoooneyesha waziwazi miili yao kama vile matiti, mapaja na sasa baadhi wameanza kuvaa nguo zinazoonyesha hata shanga viunoni. Hata bungeni sasa ugonjwa huo umebisha hodi na kukaribishwa kwa kishindo. Kuna picha kwenye Jukwaa la Jamii Photos inayoonyesha dada mmoja akiwa kwenye club moja huku makalio yote yakiwa nje kabisa.
Jamani akina dada chondechonde wanaume kama sisi madume ya mbegu mnatutesa jamani. Tutaangamia wenzenu. Hivi serikali haioni tatizo hili! Na tamwa je?
Wakuu,
Kama kichwa cha thread kinavyosomeka, ni ukweli usiopingika kuwa mavazi ya wanawake yanachangia sana vitendo vya ngono. Sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kuona akina dada mijini wakiwa na mavazi yanayoooneyesha waziwazi miili yao kama vile matiti, mapaja na sasa baadhi wameanza kuvaa nguo zinazoonyesha hata shanga viunoni. Hata bungeni sasa ugonjwa huo umebisha hodi na kukaribishwa kwa kishindo. Kuna picha kwenye Jukwaa la Jamii Photos inayoonyesha dada mmoja akiwa kwenye club moja huku makalio yote yakiwa nje kabisa.
Jamani akina dada chondechonde wanaume kama sisi madume ya mbegu mnatutesa jamani. Tutaangamia wenzenu. Hivi serikali haioni tatizo hili! Na tamwa je?
Nani anayekulazimishia???..........Hivi unajua ni kwa nini kuna tafsiri za sheria?? Anyway nadhani sio wewe ni tatizo la kimfumo zaidi.Kisichosemwa ni sawa na hakipo...usipende kumlazimishia mtu kile unachodhani/taka!!Nwy ndio uwezo kila mtu anao ishu ni kama anataka au la!!!Ndio maana wapo watu wanajiendekeza kwenye mambo mengi tu ila wakipata watu wakuwaelekeza ipasavyo na wenyewe wakawa na uhitaji wa kubadilika wanabadilika!!!Yote ni maamuzi!!
"Kujisitiri" unakokuzungumzia hapa ni kupi? Maana kila mtu ana tafsiri yake kulingana na sababu mbalimbali. Hata hivyo nitakujibu kwa namna ambayo ninadhani unamaanisha. Ni kwamba kwa upande wangu ni mara nyingi sana nimewaangalia mara mbili mbili wanawake "waliojisitiri" lakini pia ni mara nyingi sana nimewaangalia mara KUMI KUMI wanawake wanaovaa nusu uchi.Mh hebu kuwa mkweli kwa nafsi yako ni mara ngapi unawaangalia mara mbili mbili wanawake wanaojisitiri?? Uwe wa kwanza kutoshabikia mavazi ya aina ulizotaja
On whose authority do you come to that conclusion in red.Dumelambegu:
In this world, life is nothing but choices! Granted, "macho hayana pazia", but whether or not you persue the half naked lady and engage on hiyo ngono is a choice that you men consiously make!!!. So my friends unless you were raped this is nothing but a poor excuse to justify tamaa zenu and your weaknesses!
Hivi unadhani kwa kuwa ni mamako akivaa nusu uchi watu hawamtamani huko mitaani??!!!!! Being your mom, sister or whatever has nothing to do with this topic........Toa hoja acha kulalamasidhanin kama ni sahihi kusema "wanawake kwa hili mnachangia mno kuiangamiza dunia" nisehemu ndogo sana ya wanawake wanaofanya ivyo, kuhitimisha namna hiyo nafikiri tutakuwa tunakosea, take a breath, view it basing on ur mum, sisy, untie then scrutinize what u have written...... ooh no, no, kaka u r lost! the way i luv my mum, nikuona unasema wanawake wako ivo wakati my mum pia ni among wanawake... mmhh nahisi u r insulting my mum!
On whose authority do you come to that conclusion on red.
Hawaki kusikia kwamba kuendekeza tamaa ni maamuzi yao.....wanataka watu wakuwalaumu tu!!Dumelambegu:
In this world, life is nothing but choices! Granted, "macho hayana pazia", but whether or not you persue the half naked lady and engage on hiyo ngono is a choice that you men consiously make!!!. So my friends unless you were raped this is nothing but a poor excuse to justify tamaa zenu and your weaknesses!