Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Watanzania wenzangu, hii inasikitisha sana. Mh. Slaa aliliona hili akalizungumzia kushusha bei ya simenti na mabati. Kama umewahi kuwa mbunge katika jimbo fulani kwa miaka kadhaa, je unaweza kujivunia rekodi ya maendeleo kama inavyoonekana katika picha hizi?
Nawakillisha tu......Tuna masaa machache kuleta ukombozi wa pili kwa Mtanzania baada ya ule wa Uhuru 1961. Maoni yanakaribishwa.
Nawakillisha tu......Tuna masaa machache kuleta ukombozi wa pili kwa Mtanzania baada ya ule wa Uhuru 1961. Maoni yanakaribishwa.