Arusha hapa,
Master wetu yupo likizo atarejea baada ya siku 90.
Nawakillisha Maalmando wa bongonyoo.
maalmando maana yake nini. Nishawah kuickia kwny trak ya jambo squad
Arusha hapa,
Master wetu yupo likizo atarejea baada ya siku 90.
Nawakillisha Maalmando wa bongonyoo.
Poor me!!Ole Medeye (Arusha Magharibi)
maalmando maana yake nini. Nishawah kuickia kwny trak ya jambo squad
Nimetoka Tbr magamba,niko Tanga magamba,home mbagala magamba.Motherland Masasi magamba du sijuwi nijinyoge mie
Niombeeni mwenzenu angalau 2015 sengerema iponywe tutoke kwenye milki ya magamba!kwasasa nipo MBY kwa sugu!nasikia raha!