Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Ni hivi;
- Kila uendapo, wanawake ni wengi kuliko wanaume, lakini kila mmoja akimpata mwanaume, hataki kushare na mwenzake, na wala hawezi kuishi na huyo mwanaume bila kumcheat....! Sasa je, kulikoni? Tukubali kuwa wanawake ni wachoyo na wakatili?