Najitambulisha Rasmi

Karibu mkuu maana humu kuna watu wa aina mbalimbali naamini safari yangu ya kwenda Ureno itapata ufumbuzi maana nataka nitumie usafiri wa mashua kama uliyotumia wewe wakati unakuja Afrika Mashariki. Karibu sana
 
Karibu,

Mwana weye ndiye Da Gama msafiri wa pale Magogoni au uzao huu wa Da Gama mrefu zaidi?

Maana kama ni wa Magogoni kuna watu walishaanza kusema umepunguza safari mwaka huu kwa kuwa umepoteza passport, wengine wakasema hapana kumetokea moto mdogo ulioanzishwa na pasi ukaishia kwa kuunguza pasi-poti.

Mi nikawanong'oneza "Yule "Da Gama" wa Magogoni Msafiri kafiri, hahitaji hata pasi anapeta bandari au kiwanja chochote" labda anagoja zamu ya kupungwa Bwagamoyo mwaka huu tu. Si unajua muhula wa urithi unanukia?

Sasa we Da Gama, DaGama au Dagaa, ama ?
 
Karibu,

Mwana weye ndiye Da Gama msafiri wa pale Magogoni au uzao huu wa Da Gama mrefu zaidi?

Maana kama ni wa Magogoni kuna watu walishaanza kusema umepunguza safari mwaka huu kwa kuwa umepoteza passport, wengine wakasema hapana kumetokea moto mdogo ulioanzishwa na pasi ukaishia kwa kuunguza pasi-poti.

Mi nikawanong'oneza "Yule "Da Gama" wa Magogoni Msafiri kafiri, hahitaji hata pasi anapeta bandari au kiwanja chochote" labda anagoja zamu ya kupungwa Bwagamoyo mwaka huu tu. Si unajua muhula wa urithi unanukia?

Sasa we Da Gama, DaGama au Dagaa, ama ?
Hahahahahaha, utamfanya mgeni wetu akimbie mkuu...
Karibu Vasco, hapa ndio JF, the home of great thinkers!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom