Najitambulisha kwa uhalisia

Mimi naitwa Mathias BYABATO Nimeamua kujiunga rasmi na jukwaa kwa kutumia jina langu kabisa

lengo ni kutaka kuaminiwa kwa yale nitaklayokuwa nikitoa bila kificho.

punde avantor yangu itakuwa na piicha yangu ,simu nk

asante
KUNA WATU TUNAWAJUWA KWA MAJINA YAO HALISI.....LAKINI NI WAONGO BALAAAAA............. to me kujitambulisha kwa jina unaloliita halisi does not make any difference.................Anyway KARIBU WA NYHUMBHANII............ ILA TU ANGALIA .........isije ikatokea wakati nakupigia simu uanze kutaja vyoooteee vya gharama ulivyonavyo.............maana hamkawiii.........UTAWASIKIA..........actually wakati unanipigia kwenye ile blackberry yangu nilikuwa kwenye laptop yangu ile ya pentium M na tena huku vogue yangu ilikuwa inakataa kuwaka hivyo nikaamua kuwasha benzi yangu kwa remote iliyokuwa imepaki ndani ya ghorofa yangu niliyoijenga kule masaki kwa Dola ka kimarekani milioni moja kasolo hivi............
 
Mimi naitwa Mathias BYABATO Nimeamua kujiunga rasmi na jukwaa kwa kutumia jina langu kabisa

lengo ni kutaka kuaminiwa kwa yale nitaklayokuwa nikitoa bila kificho.

punde avantor yangu itakuwa na piicha yangu ,simu nk

asante

We ni Mathias Byabato mwanahabari au ni mwingine?
 
Mimi naitwa Mathias BYABATO Nimeamua kujiunga rasmi na jukwaa kwa kutumia jina langu kabisa
lengo ni kutaka kuaminiwa kwa yale nitaklayokuwa nikitoa bila kificho.

punde avantor yangu itakuwa na piicha yangu ,simu nk

asante
Karibu sana jamvini!
 
KUNA WATU TUNAWAJUWA KWA MAJINA YAO HALISI.....LAKINI NI WAONGO BALAAAAA............. to me kujitambulisha kwa jina unaloliita halisi does not make any difference.................Anyway KARIBU WA NYHUMBHANII............ ILA TU ANGALIA .........isije ikatokea wakati nakupigia simu uanze kutaja vyoooteee vya gharama ulivyonavyo.............maana hamkawiii.........UTAWASIKIA..........actually wakati unanipigia kwenye ile blackberry yangu nilikuwa kwenye laptop yangu ile ya pentium M na tena huku vogue yangu ilikuwa inakataa kuwaka hivyo nikaamua kuwasha benzi yangu kwa remote iliyokuwa imepaki ndani ya ghorofa yangu niliyoijenga kule masaki kwa Dola ka kimarekani milioni moja kasolo hivi............
Ahahahahaaaaaah!
 
Aah! Karibu sana Nshomile... Naomba niulize cjui ni vibaya (mie na wengine tunataka kujua)
1. Una rangi gani mf. Mweusi tii, maji ya kunde au mweupe.=Maji ya kunde

2. Una urefu wa futi ngapi, kiuno sentimita ngapi=???

3. Unakunywa kinywaji gani? Je weye ni mlevi wa pombe, au mihadarati ya aina yeyote?=Kilimanjaro baridi,me ni mnywaji si mlevi

4. Una mapenzi na chama kipi cha siasa hapa nchini au una mlengo gani, pia dini au dhehebu lako, je klabu ya soka uipendayo hapa nchini ni...? Ulaya je? =Sina Chama,Mimi ni RC lakini naheshimu dini za wengine,timu ya nje Arsenal,ndani Yanga

4. Unapendelea kutembelea maeneo gani hapa nchini Tanzania au nje ya nchi. Umeoa au unaendelea na masomo.,Natembelea(kikazi) Dar,Arusha,Mwanza,Uganda,Rwanda,Kenya nk.Nimeoa nina mtoto mmoja wa kikie

5. Najua we ni kijana je? Unapenda muziki wa aina gani? =Si mpenzi wa mziki
6. Una neno au jambo lolote jipya zaidi ya haya nilokuuliza ambalo ukiliongeza litakuwa na manufaa hapa JF, Na yupi atakuwa rafikiyo hapa JF na kwanini na iwapo utampata unataka aweje ili kuendana na mtazamo wako?

Nakukaribisha kwa mikono, masikio, pua, macho na ngozi ili uweze kujitambua.

'KARIBIA'

Kwa blue.Neno nshomile ni zuri kwa utambulisho wa wenyeji(si wakazi ) wa mkoa wa kagera au kabila la wahaya ingawa kutokana na sababu za kadhaa jina hilo hivi sasa ni kama tusi kwa kabila hilo kwa kuwa awali 9miaka ya 80 jina hilo lilitumika kuwaopnesha kuwa wamesoma lakini hivi sasa mkoa huo uko nyuma kielimu hivyo ni kama tusi tusi.

Pili mambo ya urefu ufupi nk sidhani kama yana manufaa kwa jamii

Tatu naona watu wengi wanashanagzwa na mimi kujiunga kwa njina langu wakati humu JF kuna watu wengi wanatumia majina yao,Basi itoshe kusema kuwa Ni namna tu niliyoamua kuingia nayo

Naamini kuwa kama mtu unataka kupost jambo la kuelimisha, la ukweli,NI KWA NINI AFICHE JINA,SURA NK.
MTU AKIJAMBULISHA KWA JINA LAKE,ENEO ALIPO,SURA YAKE,SIMU YAKE NK NADHANI(kwa naoni yangu) INAWEZA KUONESHA UKWELI WA JAMBO HILO ingawa inapunguza uhuru kwa baadhi ya mambo.
Mimi nimeamua kufanya hivyo Ingawa mimi sina miujiza zaidi bali ni yale yake kama wenzangu

BASI NIMEFUNGA KUJIBU MASWALI YANAYOHUSU KUJIUNGA HAPA KWA JINA LANGU.

Sasa tukutane kwenye mijadala

Byabato
 
KUNA WATU TUNAWAJUWA KWA MAJINA YAO HALISI.....LAKINI NI WAONGO BALAAAAA............. to me kujitambulisha kwa jina unaloliita halisi does not make any difference.................Anyway KARIBU WA NYHUMBHANII............ ILA TU ANGALIA .........isije ikatokea wakati nakupigia simu uanze kutaja vyoooteee vya gharama ulivyonavyo.............maana hamkawiii.........UTAWASIKIA..........actually wakati unanipigia kwenye ile blackberry yangu nilikuwa kwenye laptop yangu ile ya pentium M na tena huku vogue yangu ilikuwa inakataa kuwaka hivyo nikaamua kuwasha benzi yangu kwa remote iliyokuwa imepaki ndani ya ghorofa yangu niliyoijenga kule masaki kwa Dola ka kimarekani milioni moja kasolo hivi............

hahaahaaaaa this is very funny...
 
Back
Top Bottom