hello wadau wa jf....nashukuru sana kwa mawazo yenu nyote. sasa mimi nimeamua to keep distance na yule kaka coz naona kama nakua namsumbua pale ninapompigia simu au kumtext sms. lakini tatizo ni kuwa najitahidi kutaka kumtoa/kumsahau akilini mwangu lakini najikuta nagonga mwamba. nimeamua kudelete namba yake labda itanisaidia katika plan yangu. ushauri tafadhali wa aina yoyote unapokelewa, nifanyeje nimtoe akilini mwangu....? mapenzi kweli yanaweza kumfanya mtu akawa mwehu.....nimeamini.