Angalia isije ikaziba kabisa.Shauri yako.karibu kwenye chama cha watunza k
ndo raha ya wokovu....... achana na wanaume wa kukumega bila sababu...
maisha ya ubikra mazuri kweli
BAK unapima mwisho wa dunia kwa kumtumia Ero na matendo :A S 39: teh teh teh
teh teh teh. unajuaje naipenda? :A S shade:
Si ulisema mwenyewe Erotica pale jamaa alipoumia nanihii na kutakiwa asinanihii kwa mwezi mzima...nawe ukasema kukaa mwezi bila kunanihii itakuwa shida kubwa sana. Halafu angalia 'sredi' nyingi alizoanzisha ERO zinahusu nini? LOL!
BAK maisha ya Ero ni drama, mkitaka niwaletee na stori nyumbani noumer!
sie ni extended family, unaweza kuchoka. the safest thing ni my sex life.
hata hivo mbona niliacha sex hadi nilipotereza juzi?