Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Mgonjwa wa akili alikuwa hospitali anaandika barua.Daktari akamuuliza "unamuandikia nani barua?"
Chizi akajibu "Najiandikia mwenyewe."
Daktari akaanza kucheka na kumwambia "Haya nieleze barua inasema nini?"
Chizi akajibu "Nitakuelezea vipi na barua yenyewe bado haijanifikia!"
Chizi akajibu "Najiandikia mwenyewe."
Daktari akaanza kucheka na kumwambia "Haya nieleze barua inasema nini?"
Chizi akajibu "Nitakuelezea vipi na barua yenyewe bado haijanifikia!"