Najiachiaaaaaa

Ifike muda utamani kuheshimiwa hayo maisha ya ukunguru hayana raha halisi ya kibinadamu.Kama huelewi NAKUPA GO ON MAMA.
 
kiufupi watu wa namna yako wako wengi,na wenye kujitambua kama wewe ni wachache.Umeanza vema,endelea taratibu na mwishowe utajikomboa!
 
Kuwa desparate sio mpk uokote makopo huko kuyaona maisha yako ni ya ajabu ndo desparation zenyew hzo

Km unawish kuwa na family uv to change mpendwa if ur too fake don't expect to find a real man u will jst end up with those screw u

Punguza mastarehe u- wife material ukuhusu ss ohooo
 
Hi, mie ni msichana wa miaka 30, I have my very on lifestyle which me mwenyewe sijielewi. I am working n managed to rent a house and buy a car some years ago.

I live in Dar with a house girl n security guards only. I have such a free life that I can even hang out with friends for some days outside Dar. Sina boyfriend, but have hooked n dating some cute guys out there.

I have a dream of getting marriage somedays ahead but I dont see anyone among my close dudes as ideal though aint desperate. I party out a lot sana n I work a lot too.

Have dated Wazungus, Asians n more of Tzans. I enjoy sex sana n I cant wait to strip naked b4 my crazy lovers, lol. I dont understand myself kwa sababu cjui lini maisha haya yataisha na wala sielekei kuyachoka au kuyakubali .

Ki ukweli naishi kama hivi am a Christian n i also pray to God to fix wats i LACK IN MY LIFE OR CHANGE THE WAY I ARE. Sijielewi nataka au sitaki nini kwenye lifestyle of mine regardless of my age.

I CARE 4 my family n friends as well. I am very easy person to get along with n I am such a lady who jokes a lot n down to earth.

Hebu nisaidieni wana JF hivi kuna mtu mwingne yupo kama mimi au me ndo maisha yashanshinda? Na je what can i do?

Samahanini kwa kuchanganya lugha.
Kwa jinsi hiyohiyo uliyowaweka non-ideal dudes close to you, unaweza ukawaweka ideal dudes close to you na ukakamilisha dream yako ya kuolewa. Hauwezi kutarajia kuolewa na Juma wakati umemuweka Ally karibu yako zaidi na Juma umemuweka mbali.

Kama unapenda ku-date watu tofautitofauti bila kuchoka tambua kuwa ndoa wewe sio yako, hau-deserve kuolewa kwa maana ndoa itakushinda.

Sijaelewa unaishi vipi kama m-Kristo wakati una-date watu wengiwengi au una maana umezaliwa na wazazi wa-Kristo?

Sijaelewa unasema unasali Mungu arekebishe kasoro ulizonazo hii ina maana unajua uko wrong, sasa kwa nini usiamue kubadilika?

JF wapo kama wewe. Maisha yamekushinda au la, inategemea na standard zako za maisha bora ulizojiwekea, watu tofauti standards zao tofauti pia.
What can you do: angalia unatafsiri vipi maisha bora, kama tafsiri inafanana na unavyoishi then endelea na maisha hayohayo. Kama tafsiri haifanani na unavyoishi then fuata hiyo tafsiri, achana na aina ya maisha unayoishi sasa.
 
Piga magoti Mungu Baba atasikia sauti yako na kukujibu. Hakuna lisiliwezakana kwa Mungu. Na tazama na mipango nawe kama hajakuumba. Je, unatimiza mipango yake Mungu? Hapo ndiyo utajielewa.
Mungu ametuweka hapa duniani tumjue, kupenda, kumtumikia ili tufike kwake mbinguni.

Bwana Mungu akushushie Roho mtakatifu ili ujielewe....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom