Nemo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2011
- 751
- 1,331
Hapo kwenye red,at 30? mwanamke wa kibongo? Pointers,hivi unajua wasichana wanaodai hivi sasa mjini ni wale waliozaliwa 1990 na kuendelea? kama una wadogo zako wa kiume/wanao wa kiume angalia wanatoka na mabinti waliozaliwa miaka ipi.
Bishanga:
Sasa kama watu wa 80s unasema wamepitwa na wakati, kwa hiyo sisi tuliozaliwa 70's ndio kusema_____________________??