Judith, karibu sana, mimi naitwa Mabel, kijana mtanashati, mpole na mkarimu. . Sifa yangu kubwa ni kuwa tulizo la wote wenye majeraha ya mioyo yao, waliokata tamaa, hivyo siku ukiwa na matatizo kama hayo usisite nipo kwa ajili ya matumaini mapya, availability yangu ni 100%
Pamoja na hayo yote, JF ni kiboko ya wote hata mimi pia (ila baada ya JF nafuata mimi) kwani JF ni tulizo la roho na kimbilio la wengi kwani kuna watalamu kutoka kila idara.
Karibu JF, karibu sana
Pamoja na hayo yote, JF ni kiboko ya wote hata mimi pia (ila baada ya JF nafuata mimi) kwani JF ni tulizo la roho na kimbilio la wengi kwani kuna watalamu kutoka kila idara.
Karibu JF, karibu sana