Hakuna uhusiano kati ya kudai uhuru wa Jamhuri ya Zanzibar na ukristu! Serikali ya muungano na CCM si chama cha/serikali ya wakristu na wala wakristu hawahusiki kwa namna yeyote na madai ya uhuru wa Zanzibar.
Kitendo cha kuchoma makanisa ni ushambulizi wa wazi wazi dhidi ya UKRISTU, mashambulizi bila uchokozi. Unprovoked attack on Christianity!
Naita maandamano ya amani kwa wote wanaoamini katika uhuru wa kuamini bila kujali kama ni wakristu, waislamu, wahindu au wayahudi kupinga mashambulizi haya dhidi ya ukristu.
Haya ni mashambulizi dhidi ya uhuru wa kuamini!
Kitendo cha kuchoma makanisa ni ushambulizi wa wazi wazi dhidi ya UKRISTU, mashambulizi bila uchokozi. Unprovoked attack on Christianity!
Naita maandamano ya amani kwa wote wanaoamini katika uhuru wa kuamini bila kujali kama ni wakristu, waislamu, wahindu au wayahudi kupinga mashambulizi haya dhidi ya ukristu.
Haya ni mashambulizi dhidi ya uhuru wa kuamini!