Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Mimi ni mwana JF. Jina langu ni William Andindilile,nimesikitishwa na utendaji mbovu kwenye shirika la Tanesco na kazi imetangazwa ambapo wameweka sifa za mtu anayetakiwa kuongoza shirika hilo na mimi nikiangalia viongozi wote wa tanesco waliopita walichukuliwa kwa sifa hizo hizo na bado hawajaweza kuliondoa shirika katika wimbi la matatizo.
Nifanyeje wana JF niikamate hiyo kazi ili niwaondoe kwenye dimbwi la matatizo ya umeme?
Sifa nilizonazo ni zaidi ya wanazozihitaji
Nifanyeje wana JF niikamate hiyo kazi ili niwaondoe kwenye dimbwi la matatizo ya umeme?
Sifa nilizonazo ni zaidi ya wanazozihitaji