Mkuu ukipata na mimi nishtue, mahitaji yangu na mimi ni hayo hayo.
Ubarikiwe sana
naona wadau wapo kimya kaka ngoja tusubiri tuona
inawezekana kaka watu wanapuzikaUsihofu kaka, watakuja tuu, mambo ya weekend hayo..
zipo gari gani weka hapo na price zake na full information sio lazima mimi tu ninunue utapata watu wengine tukishindwana beigari zipo lakini bei ndio tatizo ndugu zangu ipo chini
kwa mimi ipsum hapana mimi ikiwa spacio au primeo itakua poa lakin kuna mdau mwingine alisema ana m6 atakuwa amekusoma labda anaweza kukubali ipsumkuna sehemu niliona the same price lakini ni kwa Ipsum ile ya zamani vipi hapo?
kuna sehemu niliona the same price lakini ni kwa Ipsum ile ya zamani vipi hapo?
primio isiwe d4
cc less than 1900
isiwe na vvti
iwe imetembea chini ya km 100000
spacio ni ile ya kizamani
cc1600 kushuka chiniless than 100000
call 0753503999