Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Patafaa sana, nimevaa helmet ya kijani
aaah!! kwa mama siyovela kwenye kitimoto patafaa au?
aaah!! kwa mama siyovela kwenye kitimoto patafaa au?
hii ni jf udaku?
sijui nikaseme kwa kova??
Ombi lipo Otis? today could be your lucky day.Nasubiri siku super mod RR atakapokubali ombi langu.
OTIS
Ombi lipo Otis? today could be your lucky day.
OMG! Unajua nimeolewa?I'm in love with you RR.
This feeling is so strong.
OTIS
OMG! Unajua nimeolewa?
OMG! Unajua nimeolewa?
Of course he is. Hujawahi soma poems namtumia kila siku kule jukwaa la lugha? sio siri mbona?Mumeo yupo humu?
Sidhani anamaanisha hiyo. Kasema he is in love.Kuolewa haimzuii yeye kukupenda
au wewe kupenda ina maana zaidi ya ninayoifahamu
Upendo wa kaka na dada
Of course he is. Hujawahi soma poems namtumia kila siku kule jukwaa la lugha? sio siri mbona?
Sijawahi kumtaja kwa jina but ukienda profile yake utakuta mistari toka kwangu. As for Otis, nadhani alikua anatania, hawezi kunipenda kwa kunisoma tu humu JF. But utani huo sio mzuri piaNajua unarushaga mistari kule ila sidhani kama umewahi kumtaja kwa jina.
Nimefurahi ulivyomjibu OTIS.
Sijawahi kumtaja kwa jina but ukienda profile yake utakuta mistari toka kwangu. As for Otis, nadhani alikua anatania, hawezi kunipenda kwa kunisoma tu humu JF. But utani huo sio mzuri pia
Najua unarushaga mistari kule ila sidhani kama umewahi kumtaja kwa jina.
Nimefurahi ulivyomjibu OTIS.
jjibu la 'nimeolewa'
lina maana tofauti
some women also mean 'keep it down low'
unajua hilo???????