Mwl Solomon
Member
- Oct 25, 2010
- 24
- 14
- Thread starter
- #21
Timueni tu.
Hapakosi watu wa kuokota mbao za vipande vya CHADEMA iliyovunjika vunjikia baharini
Hapo nilipoweka red sijapaelewa. Je! Unamaanisha mwili wa CDM kuvunjika na kutupwa baharini au unamaanisha mwili wa kiongozi aliye hovyo kuvunjwa na masalia yake wakang'aniana vyama vingine?