hendeboy
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 218
- 21
wakuu naibu waziri wa wizara ya nishati na madini atarajia kufanya mkutano wa hadhara na wananchi wa kasulu mjini mojawapo ya mambo atakayoongelea ni pamoja huduma ya umeme kasulu maana toka miaka hamsini ya huru wilaya hiyo ndo imewezakupata huduma ya umeme.
habari zaidi ntawajuza hapo badae
habari zaidi ntawajuza hapo badae